miaka 40??????? ....................... muda wote huo uliuwa wapi? tuwe serious jamani..... tatizo nyie wanawake wasomi hamtaolewa kamwe, hamjuwi kuwajali wanaume... haaaaaa. hapa kazini nianao mimamaa ipo tu, hamna ndoa, aoe nani????
pole lakini, tafuta wa ujiliwaza tu, usifikirie kuolewa!!!!
sorry mimi sihitaji kulelea bali nahitaji mume wa kufunga ndoa vigezo nilishatoa
Bahati nzuri sana hiyo, nami natafuta mwanamke mkristo mwenye umri wa kuanzia miaka 35 kuwa mwenzi wangu wa maisha kwa sharti moja tu, awe bikira. Kama unadhani unaqualify tafadhali ni-PM tuanze mawasiliano. Kama uko used samahani.Habari za asubuhi wapendwa, ninatafuta mume rafiki ambae atakuwa mwenzi wangu wa maisha, mimi ni mkristo nina 40yrs nina kazi yangu ningefurahi kama ningempata mwenye umri kati 42 had 45, awe mfanyakazi kama mimi na mkristo pia.
Nawatakieni kazi njema.
Jitafutie kiserengeti boy kiwe kinakukuna tu
wanaume siku hizi matatizo matupu.
kwa umri ulio nao bora ukaishi peke yako tu
Jitafutie kiserengeti boy kiwe kinakukuna tu
wanaume siku hizi matatizo matupu.
kwa umri ulio nao bora ukaishi peke yako tu
mnnh bora umeandika mana uongeongea sijui ingekuajemiaka 40??????? ....................... muda wote huo uliuwa wapi? tuwe serious jamani..... tatizo nyie wanawake wasomi hamtaolewa kamwe, hamjuwi kuwajali wanaume... haaaaaa. hapa kazini nianao mimamaa ipo tu, hamna ndoa, aoe nani????
pole lakini, tafuta wa ujiliwaza tu, usifikirie kuolewa!!!!
Habari za asubuhi wapendwa, ninatafuta mume rafiki ambae atakuwa mwenzi wangu wa maisha, mimi ni mkristo nina 40yrs nina kazi yangu ningefurahi kama ningempata mwenye umri kati 42 had 45, awe mfanyakazi kama mimi na mkristo pia.
Nawatakieni kazi njema.
Kila mtu ameumbiwa mtu wake,so vuta subira utakutanishwa na aliye wako,haya ya umri sijui nn ni mbwembwe tu za kidunia,hakuna aliyeumbwa kuishi peke yake,kila la heri Mkuu.
Habari za asubuhi wapendwa, ninatafuta mume rafiki ambae atakuwa mwenzi wangu wa maisha, mimi ni mkristo nina 40yrs nina kazi yangu ningefurahi kama ningempata mwenye umri kati 42 had 45, awe mfanyakazi kama mimi na mkristo pia.
Nawatakieni kazi njema.