Ninatafuta mume wa kuishi na kufunga nae ndoa

je una watoto wangapi (wana umri gani ) na huyo mwenza akiwa na watoto nini maamuzi ya hao watoto??
je ulishawahi kuolewa???
jibu maswali hayo hapo juu watu waaply bwana acha kulemaa utakuta mwana si wako.
 
Mie nakutakia kila la heri ili ufanikiwe kutimiza hilo unalolitaka.
 
Mimi nimeumbwa kwa ajili yako,ila mimi nataka watoto3
 
Hapa nina kigezo kimoja tu cha Kazi. Vingine vyote ni zero.

Kama vip punguza vigezo ndg.
 

Batoa Tamko: ah.. no! sina tamko tafadhali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…