Ninatafuta mume

Ninatafuta mume

Kazi naomba ujiongeze tu, maisha now days ni kusaidiana so kazi yoyote halali kwangu njoo nayo tu, unizidi kipato, na elimu yako unizidi. Karibu [emoji395]
Khaa elimu ndo nn wewe sisi tuna elimu ila ni upuuzi mtupu toa akuzid elimu weka akuzid kipato angalau ntakuelewa
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Mkristo
Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [emoji395]
Karibu.
Kila siku, habari unazoanzisha ni hizi, ujapata tu.? Labda una sura mbaya ukimuonyesha, anaruka.
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Mkristo
Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [emoji395]
Karibu.
Nitafte [HASHTAG]#inbox[/HASHTAG] tuyajenge
Bahat yawezakuw yko
Ucpuuuze bc naww!!
 
Pouwa me nadhani umeshanipata cfazako zote nimetimiza ila tu kaz kwako kuntafta [HASHTAG]#inbox[/HASHTAG]
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Mkristo
Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [emoji395]
Karibu.
Naomba namba yako plz
 
Ninatafuta mchumba tuje tufunge ndoa, awe serious kweli ,elimu yangu ni diploma Nina miaka 25.
Ninatarajia nimpate mchumba mwenye cfa zifuatazo
Mwenye upendo wa dhati
Mwenye kunijali mm na familia yangu
Mtanashati
Anizidi umri asipungue wa kwangu
Mcha mungu
Mkristo
Kwa aliye serious please.
Tabia zingine tutaelekezana [emoji395]
Karibu.
Utakosa wachumbà kwa sentensi yako ya mwenye kukujali wewe na familia yako. Huo ni mtazamo wa kijinga na wewe hufai kuolewa wala kuw mke bora
 
Back
Top Bottom