Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Vyuma vimekaza"Mpaka saizi miaka yote hiyo hujaolewa???? Duh! Kweli mambo yanabadlika,, halafu tena unaweka mashart ya awe amefika form six! Hapo inatakiwa uombe kama msaada tuuu mtu akuhurumie akuoe
Upo sahihi but unaonekana hutaki kuanza na maisha ya chini, na hio ni hatari sana, kuna dada hapa kitaani kwetu, alitangaza live kwamba yeye anahitaji mwanaume wakumuuowa ila sharti awe mchaga, tofauti na mchaga asimsogelee,, Hadi leo hajawahi kupata mchaga ila ni makabila mengine tu, na sasa ni mzee kisha rukwa na kanda na anatamani hata mlemavu amuoe lakini imekuwa vigumu ,, wanaume wameila mpaka basii!!" Na watoto kazalishwa kila mtoto na baba yake na hana tena mategemeo, hata hivyo watoto wamesha kuwa wakubwa na wanahitaji mahari wakaowe, je mama hana uwezo, hana mume, kwa ujumla ni masikini , leo anajuta ktk misimamo yake isie na ufaulu, na tayari ni muasirika kw sasa anaishi kwa matumaini, pole sana dada yangu ktk chaguo lako* ila sipendi nikuwache mtupu, nikwamba? Mwanaume mwema ndo kila kitu ktk ndowa, kikubwa awe nimtu wa kujituma mchapa kazi mwenye uchungu na maisha yake mwenye kupenda familia yake, Hapo mtakuwa na maisha mema tena yatakae endelea zaidiHabari wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36.
Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu.
Sifa zake
Umri: 37-45
Dini: Mkristo
Elimu: kidato cha sita na kuendelea
Kipato: Kaajiriwa / kajiajiri.
Ninawakaribisha PM kwa mawasiliano zaidi.
Ninatanguliza shukrani zangu kwa wote watakaojitokeza.
Masada waga wana kichaa flani hivi pale unapokuta anamvuto na nyota ya kuolewa waga mbwembwe nyingiiii Mara oooh hatuendani nae Mara oooh hana sifa sasa matokeo yake mnaomba kuolewa pumbavu sana wadada wenye hizo tabia saiz mnawatafuta tooooommmmbaaaaa nyokohhahahahaaaa kabisa
huyu wa kuhurumia tu bt tc too late
Umetisha muraMasada waga wana kichaa flani hivi pale unapokuta anamvuto na nyota ya kuolewa waga mbwembwe nyingiiii Mara oooh hatuendani nae Mara oooh hana sifa sasa matokeo yake mnaomba kuolewa pumbavu sana wadada wenye hizo tabia saiz mnawatafuta tooooommmmbaaaaa nyoko
Bikra at 36 years of age??Kama bado bikra njoo pm
Amina.Ninaamini Mungu atanipaMiaka 36 tayar ushaingia kwenye deadline ya kuolewa [emoji23][emoji23][emoji23] just a joke,usijali my dear Mungu akupe haja ya moyo wako