Ninatafuta mwanaume mtu mzima single

Umejijuaje una mvuto na umeconsider nini hadi kutaka wa master au phd ama karatasi ndo zinaoa? In short una akili za kizamani.
 
Huyu dada anaonekana ni msomi pia ana Hela, huenda alianza dharau, jeuri na gubu Hadi jamaa akanyosha mikono. Haiwezekani mwanaume amuzalishe watoto wawili harafu akimbie hivihivi hiyo mi sikubali. Huyu dada atakuwa na super star ndani
38 not married tayri Kuna questions mark???
 
Picha pliz, bila picha haki ya NANI huna MVUTO
 
Hii ni thesis ya PhD siyo andiko la kutafuta mwenza.
 
Umeshapata? Me I'm serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…