Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Mkopo wenye Riba hauna baraka...utakufelisha tu mbeleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkopo Benki maana yake unachukua pesa za wanahisa (mmojawapo anatokea Hanang') Sasa ulitaka usilipe riba? Nenda Amanda bank ndio hawana riba.Yes Mkuu...naona nitalipa ela nyingi sana
Hakuna sehemu saivi hazina uhitaji wa Tent. Tunatofautiana bei tu. Ila uhitaji kila sehemu upo. Na hamna hamna kabisa kwa mwaka hakosi 10M cash out of hizo tent zake.Tent akodishe wapi mkuu mikoa imetofautiana ujue...
Hilo nalo neno.. ila utakopa wapi??Asilimia 99 ya watumishi hawanufaiki na mikopo wakopayo,wao wamekuwa waneemesha mabenki
Huu msemo ni wa kujidanganya, tafiti zinaonyesha 70% ya biashara mpya huwa zinakufa ndani ya miaka 2 ya kwanza. Mind you greater risk sio solution ila risk assessment na mitigation ndio matters. Mambo ya kujilipua ni wishful thinkingGreat returns requires great risk and sufficient resources to be invested. Kama kashakaza moyo, achukue tu.
Pesa haitoshag siku zote Mkuu ....sehemu nyingn hakuna MkuuUna shida na pesa au huna? Na tukisema usichukue,je kuna sehemu ingine unategemea utapewa hiyo pesa pasipo mkopo?
Habar za asubuh wadau.
Nishaonana na afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa nikichukua M50 Kwa miaka 9 riba ni 16% narejesha M90.
Naombeni mnishauri kwenye hili wadau niache au nichukue huu mkopo
Ukituliza akili, Tent za kukodisha, viti vya kwenye sherehe, vya plastic vile na meza za round, kwa mwaka unakunja 20M. Na biashara haina mahesabu mengi, kikubwa ni kujitangaza tu.Ahsante Mkuu...
Kama wataka ushauri kutoka kwetu mbona unatupa taarifa nusu, tuambie bond au korato umeweka nini? Unafanya kazi gani unaenda kuwekeza katika nini?.......acha dharau wengine humu ni mameneja wa benki.Habar za asubuh wadau.
Nishaonana na afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa nikichukua M50 Kwa miaka 9 riba ni 16% narejesha M90.
Naombeni mnishauri kwenye hili wadau niache au nichukue huu mkopo
Mkuu kwa ushauri.tu, nenda na NMB ukalinganishe. Hiyo riba crdb na marejesho ni kubwa mno.Habar za asubuh wadau.
Nishaonana na afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa nikichukua M50 Kwa miaka 9 riba ni 16% narejesha M90.
Naombeni mnishauri kwenye hili wadau niache au nichukue huu mkopo
Hii akili inapaswa iwe kwenye uokozi hanang'Huu msemo ni wa kujidanganya, tafiti zinaonyesha 70% ya biashara mpya huwa zinakufa ndani ya miaka 2 ya kwanza. Mind you greater risk sio solution ila risk assessment na mitigation ndio matters. Mambo ya kujilipua ni wishful thinking
Mpaka unasema hivo basi wewe hujawahi kufanya biashara, kwahyo sina cha kukushauri mkuu. Endelea tu kuukumbatia umaskini. Mtakuja kujifunzia biashara ukubwani, mkishastahafu, mzizike hela zenu mlizozisotea miaka 60, haha.Huu msemo ni wa kujidanganya, tafiti zinaonyesha 70% ya biashara mpya huwa zinakufa ndani ya miaka 2 ya kwanza. Mind you greater risk sio solution ila risk assessment na mitigation ndio matters. Mambo ya kujilipua ni wishful thinking
Niliconsider na Muda pia nikaona ingekua better kama ningechukua mkopo mkubwa niuwekeze now kuliko kuchukua mdogo....niliona Io 50M nkiwekeza now after 4 yrs itakua imezalisha sana ...ila riba ndo ikanitoa stimu naona bank watafaidika sanaMiaka 9 ni mingi sana kwa mkopo, ukichukulia unalipa interest kubwa.
Huwezi kuchukua kwa angalau miaka 2 uangalie upepo unaendaje kwanza?
Huo uwekezaji huwezi kufanya kwa awamu?
Angeweka aina ya Investment anayotaka kufanya tungeweza kumshauri zaidi.Great returns requires great risk and sufficient resources to be invested. Kama kashakaza moyo, achukue tu.
Riba ya 16% ya 50M ni milioni 40 na sio 8M,naomba ufafanuzi kidogo hapaHabar za asubuh wadau.
Nishaonana na Afisa mikopo tukapiga hesabu kabisa, nikichukua Tsh. Milioni 50 kwa miaka 9 riba ni 16% na nitatakiwa kurejesha Tsh. Milioni 90.
Naombeni mnishauri kwenye hili wadau, niache au nichukue mkopo huu?
Uko sahihi MkuuHapana mkopo unatakiwa uuweke kwenye biashara inayoendelea tayari yaani uongeze liquidity, huduma, bidhaa n.k ila sio kwa uwekezaji mpya. Ni risky sana kufanya kitu kama hicho maana mpaka uwekezaji uanze kukulipa riba inapanda tuu utajikuta 50% ya faida latika miaka hii 9 inaishia kwa riba na hapo ni kama biashara itakua ina exist in 9 years!!
Haha mkuuuNaona unachukua mkopo ili ndio kwanza uanzishe biashara mpya 😂😂😂...
Kila kheri mkuu