segere
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 539
- 260
..K nimekusoma kumbe kazi yako inakufanya ukae mtandaoni mda mrefu ukicheki "pornographic materials" kiasi hadi mwili wako uwake na kungoneka,sasa fanya hivi OA au PUNYETO iwe msaada kwako,na kama u mtu mwenye dini huyo kisubisubi wa ngono anapaswa atolewe,na kuhusu kutafuta wa pembeni we tafuta manake ushakuwa mjinga wa kutosha kwani mpaka unatuuliza wa JF imeonesha ni kiasi gani mwanamke ni "CHOMBO CHA STAREHE KWAKO"..