Ninataka kumwacha au kutafuta wa pembeni....!

Ninataka kumwacha au kutafuta wa pembeni....!

..K nimekusoma kumbe kazi yako inakufanya ukae mtandaoni mda mrefu ukicheki "pornographic materials" kiasi hadi mwili wako uwake na kungoneka,sasa fanya hivi OA au PUNYETO iwe msaada kwako,na kama u mtu mwenye dini huyo kisubisubi wa ngono anapaswa atolewe,na kuhusu kutafuta wa pembeni we tafuta manake ushakuwa mjinga wa kutosha kwani mpaka unatuuliza wa JF imeonesha ni kiasi gani mwanamke ni "CHOMBO CHA STAREHE KWAKO"..
 
duh kweli wewe sijui ni hamnazo unakuwa na GF unashindwa hata kujua nature ya kazi yake achana basi umuhimu wa hiyo kazi na bado unalalamika kwa tamaa ya mwili na hapo isije ukawa wazo liko kwenye ngono zembe haaaaa
 
Ukiiendekeza hii hali itakusumbua sana. Ukimuacha huyu ulonae, huyo atakaefata ndo atakuwa available kila mara uwazapo ngono? Kutafuta wa pembeni is wastage of time na itakucost kwa sababu ndo utakuwa unachochea kabisaa hizo hisia na mawazo ya ngono, na utajiendekeza knowing that yupo wa pembeni atakae kutibia! Kuwa busy na mambo ya msingi, uthamini huo muda anaojitoa kwa ajili yako na utauona unatosha sana. Epuka kuangalia porn movies na badala yake waweza soma stories na makala tofauti tofauti ili kuepuka mawazo ya ngono!! Punguza kusikiliza sana hizo nyimbo zenu za chombeza, then waweza ongeza nyimbo za dini na vile vile waweza sikiliza mahubiri au mawaidha kupitia redio (aidha kwa simu au kupitia online)! Acha masihara my dear, maisha ya ndoa hayaandaliwi hivo, tengeneza mazingira mazuri kwa ajili yako na umpendae. ALL THE BEST.......

thanks a lot!
 
Mambo vp wadau, nina girlfriend wangu kitambo sasa. Tunaheshimiana sana na tunapendana, ila shida iliyopo kwangu ni ya kuamkwa na hisia za kungonoka kila wakati. Hili linanipa wakati mgumu sababu yeye anakuwa bize sana kazini kwake, kwa hiyo muda wa kumpata ni hadi ajiibe. Naombeni ushauri wa hii kitu, nimwache au nitafute wa pembeni bila kumwacha yeye?
pole sana najua inaumiza sana,bt kama unawasiliana nae kwenye cm mwambie siku moja ata ya jpili mkae umueleze unavyojisikia kwake,bt usichujue huamuzi wa haraka ivyo,so sikushauri kumwacha na pia kumtafutia wa pembeni
 
pole sana najua inaumiza sana,bt kama unawasiliana nae kwenye cm mwambie siku moja ata ya jpili mkae umueleze unavyojisikia kwake,bt usichujue huamuzi wa haraka ivyo,so sikushauri kumwacha na pia kumtafutia wa pembeni

lakini hapo inaumiza kwa lipi ??
  1. anatakiwa ajue nafasi ya mwenzake
  2. anatakiwa ajue nature ya kazi
  3. anatakiwa aelewe mwenzake anataka nini
 
Muoe ukaaye naye kabisa, huenda tatizo lako likapata ufumbuzi.
 
Nikuambie kitu! Msaidie kwa KUMUACHA maana huna thamani kwake; kifupi haufai; kwakidhungu U r NOT Worth her love!

Kwahiyo badala ya kutafuta wa pembeni, be man enough muache ili apate mchumba mwema na anayejua maana ya mapenzi na sio kushusha thamani ya penzi kuwa ngono tu!
 
Back
Top Bottom