Ukiiendekeza hii hali itakusumbua sana. Ukimuacha huyu ulonae, huyo atakaefata ndo atakuwa available kila mara uwazapo ngono? Kutafuta wa pembeni is wastage of time na itakucost kwa sababu ndo utakuwa unachochea kabisaa hizo hisia na mawazo ya ngono, na utajiendekeza knowing that yupo wa pembeni atakae kutibia! Kuwa busy na mambo ya msingi, uthamini huo muda anaojitoa kwa ajili yako na utauona unatosha sana. Epuka kuangalia porn movies na badala yake waweza soma stories na makala tofauti tofauti ili kuepuka mawazo ya ngono!! Punguza kusikiliza sana hizo nyimbo zenu za chombeza, then waweza ongeza nyimbo za dini na vile vile waweza sikiliza mahubiri au mawaidha kupitia redio (aidha kwa simu au kupitia online)! Acha masihara my dear, maisha ya ndoa hayaandaliwi hivo, tengeneza mazingira mazuri kwa ajili yako na umpendae. ALL THE BEST.......
pole sana najua inaumiza sana,bt kama unawasiliana nae kwenye cm mwambie siku moja ata ya jpili mkae umueleze unavyojisikia kwake,bt usichujue huamuzi wa haraka ivyo,so sikushauri kumwacha na pia kumtafutia wa pembeniMambo vp wadau, nina girlfriend wangu kitambo sasa. Tunaheshimiana sana na tunapendana, ila shida iliyopo kwangu ni ya kuamkwa na hisia za kungonoka kila wakati. Hili linanipa wakati mgumu sababu yeye anakuwa bize sana kazini kwake, kwa hiyo muda wa kumpata ni hadi ajiibe. Naombeni ushauri wa hii kitu, nimwache au nitafute wa pembeni bila kumwacha yeye?
pole sana najua inaumiza sana,bt kama unawasiliana nae kwenye cm mwambie siku moja ata ya jpili mkae umueleze unavyojisikia kwake,bt usichujue huamuzi wa haraka ivyo,so sikushauri kumwacha na pia kumtafutia wa pembeni
tafuta wa pembeni ukikolea mpotezee huyo wa sasa,kwanini uteseke
Muoe ukaaye naye kabisa, huenda tatizo lako likapata ufumbuzi.