Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo unampoteza mazima,yeye hafanyi kana kwamba anataka kuonyesha watanzania kuna mpango wa container na nyumba inakua five star, noo anataka kuishi tu ki style kwasababu ya kiuchumi, sasa unataka aweke makorokocho nengii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu container hata 1m unapataBei ya container inachezea milion 4 mpaka 8, badokulitengeneza yani liwe mpaka zile nyumba za wazungu unarudi kule kule kwenye milion 30-40 maana lazima uweke vizuia joto, la sivyo kipindi cha joto ni jehanamu na kipindi cha baridi ni friji
Lakini kwa maelezo yake anafikiri container ni chini ya milion 5 wakati ulinunua tu ni kati ya milion 4-8 kutegemea ni futi ngapi. Halafu huwezi kuishi bila kuweka material za kuabsorb joto kipindi cha baridi na kuretain joto kipindi cha baridi.Sasa hapo unampoteza mazima,yeye hafanyi kana kwamba anataka kuonyesha watanzania kuna mpango wa container na nyumba inakua five star, noo anataka kuishi tu ki style kwasababu ya kiuchumi, sasa unataka aweke makorokocho nengii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu container hata 1m unapata
Akienda hapa ajiandae bei zao zimechangamka kiasi.
Bei ni maelewano Kati ya mwenye gari na wewe, Kwa safari hiyo.Mkuu kusafirisha contena futi 40 lenye mzigo kutoka bandarini Dar mpaka mlandizi usafiri unaweza cost bei gani?
Uzuri wa haya,yanadumu miaka 200,,bado kiusalama dhidi ya mfano tetemeko,kimbunga,wezi ni fullproveKamanda fanya kweli, ilimradi tu upate gwiji fundi mtaalamu kwenye designView attachment 1679027
Kwa gharama hizi ajenge tu ya bati chini hadi juu then.Bei ya container inachezea milion 4 mpaka 8, badokulitengeneza yani liwe kama zile nyumba za wazungu unarudi kule kule kwenye milion 30-40 maana lazima uweke vizuia joto, la sivyo kipindi cha joto ni jehanamu na kipindi cha baridi ni friji
Hii juu imeezekwa au?Hii inataka containers tatu
View attachment 1692053
Hii juu imeezekwa au?
mkuu.. then after, nini kilitokea kwa huyu jamaa