Paa
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 1,462
- 2,935
Mf, nikishakula ugali(Wakushiba kabisa) mchana saa saba mida ya saa kumi kasoro jioni nakua nimeshapata njaa tena.
Nikinywa chai asubuhi saa mbili, saa tano nakua nimeshapata njaa tena.
Pia huwa ninatamani kula kula muda wote
Hii ni shida gani madokta? Na vipi tiba yake?
Maana hali hii sio rafiki kabisa
Nikinywa chai asubuhi saa mbili, saa tano nakua nimeshapata njaa tena.
Pia huwa ninatamani kula kula muda wote
Hii ni shida gani madokta? Na vipi tiba yake?
Maana hali hii sio rafiki kabisa