Ninatamani kula wakati wote na huwa napata njaa masaa machache tu baada ya kula, nina tatizo gani?

Ninatamani kula wakati wote na huwa napata njaa masaa machache tu baada ya kula, nina tatizo gani?

Asubuhi nakulaga chai ya maziwa na vitafunio kama ndizi zilizoiva zile za kuchoma kwa mafuta, sambusa, maandazi, bagia....sometimes supu ya kuku au ngombe ....chapati ..uji wa ulezi mara chache.
Pi huwa nakula mihogo/ viazi

Mchana nakula ugali/wali + maharage na dagaa+nyama+mboga za majani matunda...nyanya chungu...bamia

Usiku nakulaga mtindi na chakula chochote ila sio ugali na juice ya matunda

Wapi niongeze au kupunguza??
Mzee kama hufanyi mazoezi Yale makali achana na hizo wanga we endelea na supu tuu
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Nyama tena yenye mafuta, cheese(jibini),chocolate parachichi na mboga za majani,mayai.. Nakwambia utapunguza kula mwenyewe
Nyama nakula sana karibia kila siku, lakini hiyo ya mafuta sili na siipendi...maparachichi nakula sana...mboga za majani nakula sanamayai nakula, japo sio kila siku.. Lakini bado napata njaa
 
Mzee kama hufanyi mazoezi Yale makali achana na hizo wanga we endelea na supu tuu
Nilikua nacheza mpira nikaacha, so unanishauri niendelee?
 
Nyama nakula sana karibia kila siku, lakini hiyo ya mafuta sili na siipendi...maparachichi nakula sana...mboga za majani nakula sanamayai nakula, japo sio kila siku.. Lakini bado napata njaa
Sasa hayo mafuta ndo yanatoa hamu ya kula.. Ila maji unaypkunywa tupiamo ndimu or limao ili kuondoa gaut na stone kidney
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Nilikua nacheza mpira nikaacha, so unanishauri niendelee?
Cheza mpira piga supu for week then urudi kula wanga mdogo mdogo shida ni hiyo insulin yani sukari kidogo tu inajaza mwili mzima na kacheki kama una insulin resistance maana utakuta damu inasukari nyingi sana
 
  • Thanks
Reactions: Paa
naifahamu hiyo hali huwa inasababishwa na msongo wa mawazo kwa kuwa msongo wa mawazo waweza pelekea mtu awe anakula sana au kidogo.....! ila huo ni msongo wa mawazo kiufupi
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Cheza mpira piga supu for week then urudi kula wanga mdogo mdogo shida ni hiyo insulin yani sukari kidogo tu inajaza mwili mzima na kacheki kama una insulin resistance maana utakuta damu inasukari nyingi sana
Shukran sana, Ubarikiwe
 
naifahamu hiyo hali huwa inasababishwa na msongo wa mawazo kwa kuwa msongo wa mawazo waweza pelekea mtu awe anakula sana au kidogo.....! ila huo ni msongo wa mawazo kiufupi
Why do you just jump to your own conclusion?

Huo msongo wa mawazo umeniwekea wewe?
 


Link hizo zitakusaidia then endelea kuangalia video za huyo Dr utaelewa kuwa Mara nyingi wabongo tunabahatisha bahatisha
 
Why do you just jump to your own conclusion?

Huo msongo wa mawazo umeniwekea wewe?
i can't bring my comic to serious matters am just advising you what i know about it sasa unaposema ni own conclusion yangu sielewi ila ilo suala mara nyingi husababishwa na hiyo hali kama auna minyoo waone wataalamu alaf niletee feedback kama hawataeleza kuwa an extrem stress is among the reason
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Mf, nikishakula ugali(Wakushiba kabisa) mchana saa saba mida ya saa kumi kasoro jioni nakua nimeshapata njaa tena.

Nikinywa chai asubuhi saa mbili, saa tano nakua nimeshapata njaa tena.

Pia huwa ninatamani kula kula muda wote

Hii ni shida gani madokta? Na vipi tiba yake?
Maana hali hii sio rafiki kabisa
Kisukari
 
Kuona kila dalili matatizo ya mleta mada kuwa kwenye ubongo. Hizo ni stress na usipodili nazo zinaleta depression.

Muons daktari wa ubongo (neurologists)
Tofauti ya stress na depression ni nini
 
Kama unakaa eneo lenye baridi njaa lazma ikuume zaidi haraka kuliko sehemu ya joto. Je unakaa ukanda wa baridi???
 
P
Asubuhi nakulaga chai ya maziwa na vitafunio kama ndizi zilizoiva zile za kuchoma kwa mafuta, sambusa, maandazi, bagia....sometimes supu ya kuku au ngombe ....chapati ..uji wa ulezi mara chache.
Pi huwa nakula mihogo/ viazi

Mchana nakula ugali/wali + maharage na dagaa+nyama+mboga za majani matunda...nyanya chungu...bamia

Usiku nakulaga mtindi na chakula chochote ila sio ugali na juice ya matunda

Wapi niongeze au kupunguza??
Phnguza wanga maandazi,chapati,mihogo,uji wa ulezi,bagia vyooote hivyo vimekobolewa vina wanga mwingi.ONGEZA MBOGA ZA MAJAN iwe 75%
 
  • Thanks
Reactions: Paa
Kama unakaa eneo lenye baridi njaa lazma ikuume zaidi haraka kuliko sehemu ya joto. Je unakaa ukanda wa baridi???
Nilikua mbeya kulikuwa na baridi mwaka huu sometimes single digit ila nimeshatoka
 
Back
Top Bottom