Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
nyie ndo mnaoniharibia diet zangu😀😀😀
Chapati kutoka jikoni kwa Evelyn na sweet mangii wake Mentor
View attachment 472217
View attachment 472218
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie ndo mnaoniharibia diet zangu😀😀😀
Chapati kutoka jikoni kwa Evelyn na sweet mangii wake Mentor
View attachment 472217
View attachment 472218
tungeanza na wewe joanaNapenda sana nyuzi za namna hiyo
Kama ya warumi ilikuwa nzuri sana japo sikuuliza chochote
Naisubiri na hii kutoka kwa Eve
Hahahhhtungeanza na wewe joana
Kumbe ndo maana unafura hivnyie ndo mnaoniharibia diet zangu
Mhh joanah hata wwHahahhh
Miss mimi naogopa sana maswali
Unaonaje wewe ukiwa alhamisNapenda sana nyuzi za namna hiyo
Kama ya warumi ilikuwa nzuri sana japo sikuuliza chochote
Naisubiri na hii kutoka kwa Eve
Nikilipa naweza kuletewa hii menu popote nilipo?😀😀😀
Chapati kutoka jikoni kwa Evelyn na sweet mangii wake Mentor
View attachment 472217
View attachment 472218
Eee naogopa maswaliMhh joanah hata ww
Ngoja tusubiri ya EveUnaonaje wewe ukiwa alhamis
Walaaa waskutamanisheDuh asubuhi hii jamani unanitamanishaaaaa
walaaaa yako c magumuEee naogopa maswali
Ngoja tusubiri ya Eve
We kula tu jifuru Yego 😀Sasa wewe wantamanisha bhana! Sasa hivyo vitu vitamu nitavipata wapi huku kwenye kisiwa ndani ya Ziwa Nyanza?
Mpendwa naona unanialikia wanakondoo wa bwanaNenda mkuu..Utaenjoy sana kuchat nae
Nshawekwa ndani ujue tena Nimefungiwa stoo kabisa na bwana mentorKumbe una sifa za kuwa kawife material kwa mapishi haya, ngoja nipange taratibu za kukuweka ndani uwe unanipikia haya mautamu na mengine kadhalika.
Sasa mbona kakufungia mahali pabaya stoo? achana naye njoo kwangu ule mema ya nchi tena nina mpango wa kwenda kukufanyia shopping dubai this month, acha kujichelewesha kwa hao wazee.Nshawekwa ndani ujue tena Nimefungiwa stoo kabisa na bwana mentor
Eve yeye kasema leoEee naogopa maswali
Ngoja tusubiri ya Eve
Ndio ma dia utapata, na mikoani natuma 😀Nikilipa naweza kuletewa hii menu popote nilipo?
We nirubuni tu nikimuacha switi wangu ni dhambi yako hiyo sio yanguSasa mbona kakufungia mahali pabaya stoo? achana naye njoo kwangu ule mema ya nchi tena nina mpango wa kwenda kukufanyia shopping dubai this month, acha kujichelewesha kwa hao wazee.
Kwani anakudai? mimi sikurubuni najaribu kukupa picha halisi ya namna utakavoishi kwa raha na starehe ww sio wa kufungiwa stoo bana, jitahidi kuchukua maamuzi ya haraka kbl wenzio hawajachangamkia hii fursa hadimu.We nirubuni tu nikimuacha switi wangu ni dhambi yako hiyo sio yangu