Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,407
Lala salama mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nilidhani ni SHAIRI sbb iko JUKWAA LA LUGHA kumbe ni kweli!..... Pole sana kwa msiba mzito Mwenyez Mungu ailaze roho ya Mama yetu mahali pema peponikatika mitihani inayoweza kumkumba mwanadamu mmoja wapo ni pindi akikabiliwa na kifo, na hili ndio lilionikuta mimi,kusema nimefikwa na msiba sidhani kama eti ninataka sifa kama unavyosema au nastahili ban
pole!!ila ulivyo ileta!!!!mmmmh hivi unapata hata nguvu za kukaa na kuandika wakati mama amekutoka!!
mi nilidhani ni SHAIRI sbb iko JUKWAA LA LUGHA kumbe ni kweli!..... Pole sana kwa msiba mzito Mwenyez Mungu ailaze roho ya Mama yetu mahali pema peponi
Pole sana mkuu!
kiza hujaingia,ila naona kwa masiala vile unaigiza. Huna uchungu wa mwana aujuae zaidi ya mother. Vile msiba wautangaza nikadhani mwenzangu na malimba wapiga. Yangu samahani nitoe nsije nkachomwa mwiba.Deno AROBAINATISA,maswali najiuliza, Mbona kama una visa,kwa mwenzio nauliza? Au kunao mkasa,nimeliingia giza? Hakika mi sielewi,hebu nifumbue macho!