miminimama
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 696
- 1,818
Wakuu zangu,
Mimi ninaishi Kisarawe Pwani nimejiajiri kwa sasa lakini pia nimeajiri vijana wenzangu 8. Sasa ukitoa mambo mengine kuna sehemu nachimbia 10, 000 kila siku kwa madhumuni ya kuwa mpaka December mwishoni nipate kiasi kisichopungua 1,200,000.
Nimeanza kuweka kuanzia mwezi wa 9 mwaka huu na ninatamani sana kulima zao la muda mfupi kama miezi 3 au 4 lakini litakalonizalishia hela nzuri; yaani hiyo million izae walau hata mara 3 au 2.
Ni mara ya kwanza kulima nahitaji ushauri wenu kwa kuzingatia majira ya mwezi wa kwanza, aina ya zao mpaka navuna kupeleka sokoni.
N.B: Nitakuwa na balance ya kuongezea kidogo ikafika mpaka 1,500,000.
Ahsanteni sana.
Mimi ninaishi Kisarawe Pwani nimejiajiri kwa sasa lakini pia nimeajiri vijana wenzangu 8. Sasa ukitoa mambo mengine kuna sehemu nachimbia 10, 000 kila siku kwa madhumuni ya kuwa mpaka December mwishoni nipate kiasi kisichopungua 1,200,000.
Nimeanza kuweka kuanzia mwezi wa 9 mwaka huu na ninatamani sana kulima zao la muda mfupi kama miezi 3 au 4 lakini litakalonizalishia hela nzuri; yaani hiyo million izae walau hata mara 3 au 2.
Ni mara ya kwanza kulima nahitaji ushauri wenu kwa kuzingatia majira ya mwezi wa kwanza, aina ya zao mpaka navuna kupeleka sokoni.
N.B: Nitakuwa na balance ya kuongezea kidogo ikafika mpaka 1,500,000.
Ahsanteni sana.