nitafute inbox naona unaongea factSuka mchongo na mtu wa bank mbona easy tu. Counterfeit BS zenyewe tunatoa huko huko bank zina muhuri kabisa wa branch manager. Bongo hii hata mhuri wa Ikulu unapata ila for some reasons watu mnaona banks hazigusiki.
Nasisitiza katika kughushi usiishie kwenye docs tu inabidi ujue jinsi ya kuziba weak links zote na hiyo ndo changamoto yenyewe.
nitafute inbox naona unaongea fact
Hello Nashida ya kunitengenezewa documentPm nilikupa namba.
Nipigie tuongee
Hello lorasa. Ulifanikiwa kupata visa. Mm Nashida na mtu au agent genuine anifanyie mpango nipate visaNimefikia hatua nzuri kwa sasa this soon naweza kuondoka. Asante kwa concern yako mkuu.
Hakuna agent ,mwenye uwezo wakukuhakikisha kupata visa US, sijui kwa nch nyingine . Na pia hata ukitumia Agents bado utahita focuments zote muhimu, kitu qmbacho no sawa tu na kuapply mwenyewe!Hello lorasa. Ulifanikiwa kupata visa. Mm Nashida na mtu au agent genuine anifanyie mpango nipate visa
Kupata Shengen Visa inabidi. Uwe na 12000 EUR kasoro kwenye blocked account. Labda ujaribu Marekani ila kwa Western Europe hiyo hela ni ndogo sana.Ni kwema wazawa?
Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale Ubalozini wanipe Visa smoothly.
Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.
Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiwa huko. It's all good! Nae atapata kitita tajwa.
Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.
Don't worry! I'll wait for your Noble response.
Nakaribisha ushauri.