Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

BS ya sponsor. Nchi zote zinahicho kigezo na watu wanachakachua. Moja ya kitu kirahisi kuchakachua ni BS nakwambia na usidhani watu wanachakachua wakiwa maghettoni tu huu ni mchongo unasukwa kitaalam.
Mkuu sijaelewa structure ipi ya Bs unayoiongelea kwamba ati ni rahisi kuchakachua , unaiongelea BS kama vile cheti cha ubatizo ambacho hakibadiliki kitu kikisha andikwa.
Bs ni documents endelevu na inaweza ikahitajika na kukaguliwa anytime officials wanapotaka na ukagindulika
Kwenda nje ya nchi ni kitu kimoja na kuishi huko kwa amani ni kitu kingine .
 
@Bufa
Mimi ni muhanga wa kukosa visa ya Australia, hicho unachokiongea kuhusu Bank statements forgery kwa ubalozi wa Australia hutoboi , they are very smart at it
kwanza wanataka immediately funds , hizi ni pesa wanataka ziwepo kwenye account yako au inayokufadhili , kwa hiyo usipokuww na vitu kama Atm cards upon arrival , wanaweza kukku deport ,how can you acces cash then? kwa case yangu sponsor alinipa statement tamu, nikaenda nayo ubalozini , bahati mbaya sponsor akapata na dharula iliyomfanya atoe pesa nyingi , na bahati mbaya zaidi wale embassy wakapiga simu bank kuulizia salio ikaonekana pesa ninayoclaim haipo kwenye account tajwa na nikanyimwa visa, ilikuwa mwaka 1999 na hadi leo nina hiyo copy ya email.
Mkuu t blj skupingi, ila Bank hawaruhusiwi kuto siri za mteja wao hasa hasa balance iliyonayo mteja wao hapo unaweza kuishatki bank kwa tutoa siri za account yko bila idhini yako au ya mahakama ya nchi husika ambayo hiyo bank ipo na kama umesema ubalozi ulipiga simu bank je bank ilitumia njia gani kujirizisha kama kwel ni ubalozi wa Australia ulio piga simu??? Na si mtu anaejifanya anatoka ubalozini anataka taarifa za mteja wao ili akazitumie kiujambazi?? Swala la ubalozi kupiga simu ndio inawezekana lakim swala la kutajiwa balance iliyopo haiweze kani mkuu na wewe ulijuaje kama ubalalizi ulpiga simu je walikwambia??? NB kwa USA non immigrant visa ubalozi hawapigi simu popote ku confirm document's ulizo submit siku ya interview kama watatilia mashaka documents zako hawakupi visa end of the strory. Kama story yako na documents zako zita balance na ukawahakikishia ukienda hauta overstay utarudi on time wana kupa visa mchana kweupe. Ila sometimes na bahati inabidi inahusika.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sijaelewa structure ipi ya Bs unayoiongelea kwamba ati ni rahisi kuchakachua , unaiongelea BS kama vile cheti cha ubatizo ambacho hakibadiliki kitu kikisha andikwa.
Bs ni documents endelevu na inaweza ikahitajika na kukaguliwa anytime officials wanapotaka na ukagindulika
Kwenda nje ya nchi ni kitu kimoja na kuishi huko kwa amani ni kitu kingine .
Nina ushahidi wa brother wangu alitengeneza BS fake na akapata visa ya kwenda kusoma UK mwaka 2006. Haya mambo yapo mkuu. Ukitaka uende kihalali Ulaya au US kama wewe ni maskini utasubiri sana maana wale ma visa counselors hawana huruma kabisa kama huna sifa hupati hata iweje ndo maana watu wanajiongeza na fake documents wapo wanao fanikiwa na wapo wanao fail inategemea na bahati na uzuri wa kujieleza wa mtu na mtu.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sijaelewa structure ipi ya Bs unayoiongelea kwamba ati ni rahisi kuchakachua , unaiongelea BS kama vile cheti cha ubatizo ambacho hakibadiliki kitu kikisha andikwa.
Bs ni documents endelevu na inaweza ikahitajika na kukaguliwa anytime officials wanapotaka na ukagindulika
Kwenda nje ya nchi ni kitu kimoja na kuishi huko kwa amani ni kitu kingine .

Do it the right way. Good luck
 
Mkuu t blj skupingi, ila Bank hawaruhusiwi kuto siri za mteja wao hasa hasa balance iliyonayo mteja wao hapo unaweza kuishatki bank kwa tutoa siri za account yko bila idhini yako au ya mahakama ya nchi husika ambayo hiyo bank ipo na kama umesema ubalozi ulipiga simu bank je bank ilitumia njia gani kujirizisha kama kwel ni ubalozi wa Australia ulio piga simu??? Na si mtu anaejifanya anatoka ubalozini anataka taarifa za mteja wao ili akazitumie kiujambazi?? Swala la ubalozi kupiga simu ndio inawezekana lakim swala la kutajiwa balance iliyopo haiweze kani mkuu na wewe ulijuaje kama ubalalizi ulpiga simu je walikwambia??? NB kwa USA non immigrant visa ubalozi hawapigi simu popote ku confirm document's ulizo submit siku ya interview kama watatilia mashaka documents zako hawakupi visa end of the strory. Kama story yako na documents zako zita balance na ukawahakikishia ukienda hauta overstay utarudi on time wana kupa visa mchana kweupe. Ila sometimes na bahati inabidi inahusika.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Sijawahi omba visa ya Usa , ila nina experience na Visa ya Australia.
Bank wana limitations sana linapokuja kuwajibika kwa baadhi ya mamlaka , ndo maana pamoja nasheria za privacy Tra bado wanaweza kuangalia balance na kufunga baadhi ya akaunti za benki wakihitaji
Australian Embassy wameweka wazi kuwa lazima wajiridhishe na kuwa una kiwango cha fedha zitakazokusaidia ukiwa huko. Na ikitokea wanakunyima Visa huwa wanaeleza kabisa sababu.
Kwa kesi yangu ilikuwa insufficient balance to cover studies costs, na email nilipewa ,,
 
Mkuu t blj skupingi, ila Bank hawaruhusiwi kuto siri za mteja wao hasa hasa balance iliyonayo mteja wao hapo unaweza kuishatki bank kwa tutoa siri za account yko bila idhini yako au ya mahakama ya nchi husika ambayo hiyo bank ipo na kama umesema ubalozi ulipiga simu bank je bank ilitumia njia gani kujirizisha kama kwel ni ubalozi wa Australia ulio piga simu??? Na si mtu anaejifanya anatoka ubalozini anataka taarifa za mteja wao ili akazitumie kiujambazi?? Swala la ubalozi kupiga simu ndio inawezekana lakim swala la kutajiwa balance iliyopo haiweze kani mkuu na wewe ulijuaje kama ubalalizi ulpiga simu je walikwambia??? NB kwa USA non immigrant visa ubalozi hawapigi simu popote ku confirm document's ulizo submit siku ya interview kama watatilia mashaka documents zako hawakupi visa end of the strory. Kama story yako na documents zako zita balance na ukawahakikishia ukienda hauta overstay utarudi on time wana kupa visa mchana kweupe. Ila sometimes na bahati inabidi inahusika.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app

Mkuu asante. Nimehubiri sana humu haya mambo ila wengine wagumu kuelewa. Watanzania wengi wanataka kutafuniwa kila kitu ukimwambia habari za kuforce king kidogo tu wanang'aka afu bado wanashangaa kwanini hawatoboi.

Haya mambo yapo sana wenigne tunaweza kuandika kitabu kabisa.
 
Do it the right way. Good luck
Scenario yangu ilikuwa karibu miaka 23 iliyopita , nilisha move on kwenye vitu vingine kabisa , na wala sina mawazo hayo tena.
Asante kwa ushaurii
 
Sijawahi omba visa ya Usa , ila nina experience na Visa ya Australia.
Bank wana limitations sana linapokuja kuwajibika kwa baadhi ya mamlaka , ndo maana pamoja nasheria za privacy Tra bado wanaweza kuangalia balance na kufunga baadhi ya akaunti za benki wakihitaji
Australian Embassy wameweka wazi kuwa lazima wajiridhishe na kuwa una kiwango cha fedha zitakazokusaidia ukiwa huko. Na ikitokea wanakunyima Visa huwa wanaeleza kabisa sababu.
Kwa kesi yangu ilikuwa insufficient balance to cover studies costs, na email nilipewa ,,
Basi labda walio kiwango kilekile ambacho kipo kwenye BS yko ambayo ulienda nayo hakitoshi ila sio kama walipigia simu bank husika na kuuliza Balance.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
 
Nina ushahidi wa brother wangu alitengeneza BS fake na akapata visa ya kwenda kusoma UK mwaka 2006. Haya mambo yapo mkuu. Ukitaka uende kihalali Ulaya au US kama wewe ni maskini utasubiri sana maana wale ma visa counselors hawana huruma kabisa kama huna sifa hupati hata iweje ndo maana watu wanajiongeza na fake documents wapo wanao fanikiwa na wapo wanao fail inategemea na bahati na uzuri wa kujieleza wa mtu na mtu.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Mkuu Uk sijui wana utaratibu gani
Mi nilikuwa naongelea Australia , sio rahisi kufoji Bs
 
Mmeweza na mmefanya lipi wasomi nyie , ? Hii ya kushauri mtu agushi bank statements nayo ni kielelezo cha matunda ya elimu ? Kuna tofauti gani na yule phd holder aliyekuwa anatushauri tujifukize kutibu korona?

Tofauti ni kwamba sasa navuta hewa laini isiyo na mawaa na nyie wenye elimu bora bado mnapiga kwata consulate.
 
Scenario yangu ilikuwa karibu miaka 23 iliyopita , nilisha move on kwenye vitu vingine kabisa , na wala sina mawazo hayo tena.
Asante kwa ushaurii

Mkuu nawajua watu wamefanya haya mambo as recently as last yr.
 
Basi labda walio kiwango kilekile ambacho kipo kwenye BS yko ambayo ulienda nayo hakitoshi ila sio kama walipigia simu bank husika na kuuliza Balance.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Mkuu
Visa nilikwenda siku ya jumanne , documents nilizobeba Bs ilikuwa na balance mara mbili ya mahitaji ya wakati huo walitaka equivalent ya 8000 Aud . Bahati mbaya alhamisi sponsor aka withdraw pesa nyingi na kuacha pesa kidogo akiamini kuwa hata affect chochote, walipopiga simu ndipo ikagunduilika kuwa akaunti haina balance ya kutosha .
 
Mkuu
Visa nilikwenda siku ya jumanne , documents nilizobeba Bs ilikuwa na balance mara mbili ya mahitaji ya wakati huo walitaka equivalent ya 8000 Aud . Bahati mbaya alhamisi sponsor aka withdraw pesa nyingi na kuacha pesa kidogo akiamini kuwa hata affect chochote, walipopiga simu ndipo ikagunduilika kuwa akaunti haina balance ya kutosha .
Sawa mkuu

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
 
Tofauti ni kwamba sasa navuta hewa laini isiyo na mawaa na nyie wenye elimu bora bado mnapiga kwata consulate.
Sijui umetumia kigezo gani kuni value , ila naona kama mjadala unaelekea kusiko.
Hongera kwa kuvuta hewa safi, mie nipo namtumbo hapa hayo mambo ya consulate nilishaachana nayo 23 years back.
Nikutakie usiku mwema , sijui kama huko kwenu ni usiku ama nimekariri muda wa huku.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Greece
Australia
Luxembourg
USA
Uk
Qatar
UAE
 
😀😀

Nacheka kwasababu watu wamefanya hayo mambo as recently as last yr.

Ubalozi kutaka kuhakikisha uhalali wa BS yako tayari umewapa sababu ya kukutilia mashaka. You didn't do your homework well enough.

Kwenye uzi huu huu watu wamekiri kupatiwa visa bila kuulizwa BS wala nini. Kwanini wewe ubanwe?

Nimesema forgery sio docs tu ni pamoja na kucover weak links za kutiliwa mashaka.

Hakuna ndugu au rafiki yangu ambaye nimemshika mkono kwenye swala la visa akakosa. HAKUNA.

But to each their own. If playing safe is your game more power to you. Tusijelaumiana bure hata kama hatujuani.
Nakuunga mkono hapo uliposema ukiwapa sababu ya kukutilia mashaka kweli watapiga simu kama zote kwa watu na institutions zote zilizopo kwenye docs zako. Kuna watu wanafika ubalozini wala hawaulizwi maswali mengi, hayo sijui ma BS wala hawaulizwi na wanapata visa kiulaini. Wakifika port of entry wanateleza tu hawaulizwi ATM card wala nini

Lazima mtu ujipange sio kwa docs tu bali hata muonekano na jinsi mtu unavyojieleza. Lazima ujue pia saikolojia ya hawa watu wa kwenye balozi na port of entry la zivyo visa utazisikia kwa watu tu
 
Nakuunga mkono hapo uliposema ukiwapa sababu ya kukutilia mashaka kweli watapiga simu kama zote kwa watu na institutions zote zilizopo kwenye docs zako. Kuna watu wanafika ubalozini wala hawaulizwi maswali mengi, hayo sijui ma BS wala hawaulizwi na wanapata visa kiulaini. Wakifika port of entry wanateleza tu hawaulizwi ATM card wala nini

Lazima mtu ujipange sio kwa docs tu bali hata muonekano na jinsi mtu unavyojieleza. Lazima ujue pia saikolojia ya hawa watu wa kwenye balozi na port of entry la zivyo visa utazisikia kwa watu tu

Exactly.
 
Balozi kama za marekani mtu anafanyiwa interview watu wote waliopo wanasikia anavyohojiwa yani hakuna privacy kabisa. Sasa wengine wanavyojieleza mtu unajua kabisa huyu visa lazima anyimwe na ananyimwa kweli...watanzania hatujiamini. Ndo maana wanaijeria na wakenya wanafanikiwa zaidi
 
Balozi kama za marekani mtu anafanyiwa interview watu wote waliopo wanasikia anavyohojiwa yani hakuna privacy kabisa. Sasa wengine wanavyojieleza mtu unajua kabisa huyu visa lazima anyimwe na ananyimwa kweli...watanzania hatujiamini. Ndo maana wanaijeria na wakenya wanafanikiwa zaidi
Tupe somo zaidi , inabidi mtu ajiandar vipi na hizi interview za Visa...
Ni maswali gani ambayo wakikuuliza, ukashindwa jielezea vizuri watakutilia mashaka... nakupelekea kukosa visa?
 
Back
Top Bottom