6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Wapopo ni wanaija?Kwanini wao waweze, sisi tushindwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapopo ni wanaija?Kwanini wao waweze, sisi tushindwe?
Umejipanga vipi mkuu?Kuanza kwenye unafuu ni kupoteza focus kwenye main goal.hakikisha unapata tundu (visa).
Labda atakuelewa ,
Bs forgery ni kitu kilichopitwa na wakati , ukipractise forgery kwa sasa ni kujitafutia mabalaa tu .mimi walipiga simu benki mwaka 1999 enzi hizo visa tunaombea Nairobi ,
Bs haikuwa feki ila sponsor alitoa pesa baada ya kupata dharula akichukulia itakuwa poa tu
Visa sikupata na sababu walisema account haina pesa , , mind you bs niliyo submit kwneye documents ilikuwa na pesa ya kutosha the day before applying.
Wapopo ni wanaija?
Kama mpira anauweza mpeleke Ukraine akaanzie kwenye timu za chini kule, Wanaigeria ndio wanavyofanyaNina dogo kaferi certificate sijui pakumpeleka bongo naona pagumu sana na passport anayo nilimpatia mwaka wa jana na anapenda sana mpira na magemu ya mpira nikamuwazia mpira bongo atoki labda nchi za ulaya ata hivyo ata akienda kubeba maboksi sio mbaya mnaweza nisaidia hili wakuu
Nigeria wana hustle aisee na kumbuka, niliuwa nikitoka break job muda wa kula, nilikuwa nakutana na wanaija nao wanakuja kula wali maharagae ,walikiwa ni wachezaji mpira wamekuja Tz kutafuta timu... ya kujiunga nayo huku bongoKama mpira anauweza mpeleke Ukraine akaanzie kwenye timu za chini kule, Wanaigeria ndio wanavyofanya
Kipindi naenda kuchukua passport 2016 watu wengi waliniambia hupati akiwem bamkubwa anafanyakazi HQ mambo ya ndani akanambia wanataka vitu vingi sana,walichokuwa hawajui mm nilikua na details zote wakashangaa nimepewa passport.Take your time. Kusanya docs taratibu. Tafuta connections. Tafuta funds, anza application.
Kipindi naenda kuchukua passport 2016 watu wengi waliniambia hupati akiwem bamkubwa anafanyakazi HQ mambo ya ndani akanambia wanataka vitu vingi sana,walichokuwa hawajui mm nilikua na details zote wakashangaa nimepewa passport.
Bamkubwa akasema niambie jinzi ulivyopata na mwanangu akachukue
Mkuu nazungumzia vijana tuwape abc sio kubaki kujisifia humu hoo mimi nipo hivi haisaidii kitu umeona waNigeria jinsi wanavyowashika mkono wadogo na pia nilimwelekeza hivyo kwa kuwa si wengine huko tunaweza kwenda na kurudi sasa hivi ila mwanzo mimi sikuwahi kufikiria baadhi ya nchi kwa kuwa sifa kuu ya hela ndio ilikua changamoto...Concern yake kubwa Kiranga ilikuwa kwa nini jamaa anataka kutumia fedha kwa mambo ambayo ukifata tu utaratibu utapata visa kwa fee ndogo tu
kiukweli mimi hapo ndipo nilipoliona tatizo, lakini pia ukisema mtu kama kiranga akupe abcd za kwenda nje , kutegemeana na sababu kadhaa anaweza asiwe wa msaada kwako, ninaamini kwa the way anavyo behave kiranga anaweza kuwa alikwenda states kwa visa ya studies , sasa mtu kama huyo anaweza asiwe na msaada kama mtu anaplan kwenda kufanya biashara huko Usa
Ok sawa dada safi kwa taarifa nzuri kama hizi ili vijana waelewe kwa kuanzia mimi hongkong nimeishi camteen na kule shamshuipoo ambako tulikua tunaokota vitu kwa bei ndogo na kuvitia kwenye contenna mpaka kesho vitu ni vya kumwaga mpaka magari yapo ya bei ndogo yanayotoka japan na ya pale pale ila sema sasa hivi covid imetublockHong Kong wanatoa visa on arrival , I have been there uwe na sehemu ya kufikia tu kama ni hotel onesha booking kama kwa mtu wanataka address na show Money of atlist 100usd , Hong ni kama USA flani wana adi Timesquare garden kama ya America
and Hong Kong you should atlist have something showing there is something your doing back home kama kitambulisho cha kazi , barua ya chuo business license or anything
Mkuu upo sahihi kabisa haya ndio madini vijana wanatakiwa wapate...Naona wengi mnafeli hata kuwaza mambo madogo tu ndo maana mnaona haya mambo ni otherworldly. Aje mtu wa miaka 20 sio famous wala nini na bank statement yake mwenyewe inasoma 1M USD unadhani nani atamuamini?
Kama kuwaza jambo dogo tu hivi hamuwezi basi hata msiwaze about counterfeiting.
Forgery sio docs tu ni pamoja na kuwaza jinsi ya kuziba weak links ili usitiliwe mashaka, kitu ambacho naona wengi kinawashinda.
Mathalani, huyo aliyepelekwa ATM kwanini kwanza alitembea na card? Alisema ana shingapi na alisema BS ya nani? Kingine wengi hawajiamini na hawajui sheria. Ukijua sheria na haki zako utabishana nao kisheria.
Aidha, bank statement inaonyesha mzunguko wa pesa sio pesa iliyokaa tu in the vaults kama viazi store. Hata BS ya ukweli yenye 1M leo kesho inaweza kuwa na 10 dollars na mtu akaombea na kupewa visa vizuri tu. Watu wamepita na BS za hivi nawajua personally.
People really have no idea how these things work.
Wenzenu wanadraft BS ya 30k USD tu wanasema ya mjomba au sponsor sasa kama mnataka sponsor awape salio on the spot mtafuteni.
Mwisho, isije kuonekana nashauri watu wadanganye la hasha ila nawaambia ni mambo ambayo yapo na yanafanyika. There's no such a thing as a perfect system.
PassportPassport au Visa?
David Concar anafanya nini Tanzania? Ofisi yake inahusu nini kwa kutumia jina UK?Sio agent ndio viza processing Centre wanatuma documents zako kwenda south Africa kwa Kua Hatuna Ubalozi Tanzania
Muhimu Uweke mkataba wa nyumba yako unayoishi kama umepanga kama haujapanga ni nyumba yako uwa wahitaji copy ya hati au kiwanja Pia
Kama upo dar nenda Nenda pale zilipokua ofisi za EFM radio kuna stationery chini au mikocheni karibu na talk of the town kuna stationery pia watakusaidia kujaza forms online kwa gharama ya elfu 30 au 50
systems nzuri ya elimu toka shule za msingi.Kwanini wao waweze, sisi tushindwe?
Moja ya hitaji la Australian study visa ni reliable source of income , kwa muombaji visa .😀😀
Nacheka kwasababu watu wamefanya hayo mambo as recently as last yr.
Ubalozi kutaka kuhakikisha uhalali wa BS yako tayari umewapa sababu ya kukutilia mashaka. You didn't do your homework well enough.
Kwenye uzi huu huu watu wamekiri kupatiwa visa bila kuulizwa BS wala nini. Kwanini wewe ubanwe?
Nimesema forgery sio docs tu ni pamoja na kucover weak links za kutiliwa mashaka.
Hakuna ndugu au rafiki yangu ambaye nimemshika mkono kwenye swala la visa akakosa. HAKUNA.
But to each their own. If playing safe is your game more power to you. Tusijelaumiana bure hata kama hatujuani.
Nakubaliana sana na wewe, ila kwa structure ya sisi wabongo hatuwezi kushikamana maana si waaminifu,Mkuu nazungumzia vijana tuwape abc sio kubaki kujisifia humu hoo mimi nipo hivi haisaidii kitu umeona waNigeria jinsi wanavyowashika mkono wadogo na pia nilimwelekeza hivyo kwa kuwa si wengine huko tunaweza kwenda na kurudi sasa hivi ila mwanzo mimi sikuwahi kufikiria baadhi ya nchi kwa kuwa sifa kuu ya hela ndio ilikua changamoto...
systems nzuri ya elimu toka shule za msingi.
Moja ya hitaji la Australian study visa ni reliable source of income , kwa muombaji visa .
Hebu nieleze unawezaje kubypass hili ili usiombwe Bs?
Mmeweza na mmefanya lipi wasomi nyie , ? Hii ya kushauri mtu agushi bank statements nayo ni kielelezo cha matunda ya elimu ? Kuna tofauti gani na yule phd holder aliyekuwa anatushauri tujifukize kutibu korona?Watanzania tuliosoma Tanzania tunaweza na tumefanya. Endelea kusubiri kila kitu kifunguke taratibu wengine tunaforce king.