Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Nina dogo kaferi certificate sijui pakumpeleka bongo naona pagumu sana na passport anayo nilimpatia mwaka wa jana na anapenda sana mpira na magemu ya mpira nikamuwazia mpira bongo atoki labda nchi za ulaya ata hivyo ata akienda kubeba maboksi sio mbaya mnaweza nisaidia hili wakuu
 
Kuna uzi flani mleta maada aliwahi kuchangia kuwa anafanya biashara fulani huko zanzibar na imemtoa kwa muda mfupi kaanza kupiga pesa ndefu,
Basi watu wakaanza kumuomba awaelekeze ili nawao wajikwamue kimaisha jamaa ulikataa kata kata,

Wengine wakaanza kuhisi huenda ni biashara haramu, nilichojifunza ni kwamba Kiranga ni mtu makini sana anaweza kunusa udanganyifu au hatari kwa haraka sana, kiufupi Luna uwezekano wa mtu kuingia matatizoni
Kiranga ni mtoto wa mjini na nahisi amechanganya maisha ya uswahilini ila ni mtoto wa kishua
the guy is genius
 
naangaliaga kipindi kinaitwa border security Australia. Ukifika pale airport wale maafisa uhamiaji wakiwa na mashaka na wewe, especially Kama kuforge bank statement wanakupeleka kwenye ATM za airport unaambiwa uangalie salio wakiona.
Kama ulidanganya unadeportiwa na next available flight.
nimetoka kumwambia hilo jambo mdau fulani huko post za mwanzo akanibishia
Australia na mambo ya bank statements wapo makini sana , enzi hizo walikuwa wanapiga simu bank kuulizia balance za accounts zinazo ku sponsor , siku hizi mambo ni ATM
 
Mkuu unachoongea upo sahihi kinachotakiwa ni kutoa hizo njia sahihi ili wengine wafate huo mstari maana taarifa sahihi ndio power ya kila na walioingia njia za panya huwa naamin kukosa kwao taarifa sahihi na maisha yetu yalivyo yanawafanya wapite hivyo na ukizingatia kitambo kidogo nchi zinazoeleweka kupata visa na kuonyoosha mambo yako ilikua mtihani..tuliosafiri tuwatoe matongo tongo madogo ili wao wapate unafuu
Concern yake kubwa Kiranga ilikuwa kwa nini jamaa anataka kutumia fedha kwa mambo ambayo ukifata tu utaratibu utapata visa kwa fee ndogo tu
kiukweli mimi hapo ndipo nilipoliona tatizo, lakini pia ukisema mtu kama kiranga akupe abcd za kwenda nje , kutegemeana na sababu kadhaa anaweza asiwe wa msaada kwako, ninaamini kwa the way anavyo behave kiranga anaweza kuwa alikwenda states kwa visa ya studies , sasa mtu kama huyo anaweza asiwe na msaada kama mtu anaplan kwenda kufanya biashara huko Usa
 
Naona wengi mnafeli hata kuwaza mambo madogo tu ndo maana mnaona haya mambo ni otherworldly. Aje mtu wa miaka 20 sio famous wala nini na bank statement yake mwenyewe inasoma 1M USD unadhani nani atamuamini?

Kama kuwaza jambo dogo tu hivi hamuwezi basi hata msiwaze about counterfeiting.

Forgery sio docs tu ni pamoja na kuwaza jinsi ya kuziba weak links ili usitiliwe mashaka, kitu ambacho naona wengi kinawashinda.

Mathalani, huyo aliyepelekwa ATM kwanini kwanza alitembea na card? Alisema ana shingapi na alisema BS ya nani? Kingine wengi hawajiamini na hawajui sheria. Ukijua sheria na haki zako utabishana nao kisheria.

Aidha, bank statement inaonyesha mzunguko wa pesa sio pesa iliyokaa tu in the vaults kama viazi store. Hata BS ya ukweli yenye 1M leo kesho inaweza kuwa na 10 dollars na mtu akaombea na kupewa visa vizuri tu. Watu wamepita na BS za hivi nawajua personally.

People really have no idea how these things work.

Wenzenu wanadraft BS ya 30k USD tu wanasema ya mjomba au sponsor sasa kama mnataka sponsor awape salio on the spot mtafuteni.

Mwisho, isije kuonekana nashauri watu wadanganye la hasha ila nawaambia ni mambo ambayo yapo na yanafanyika. There's no such a thing as a perfect system.
@Bufa
Mimi ni muhanga wa kukosa visa ya Australia, hicho unachokiongea kuhusu Bank statements forgery kwa ubalozi wa Australia hutoboi , they are very smart at it
kwanza wanataka immediately funds , hizi ni pesa wanataka ziwepo kwenye account yako au inayokufadhili , kwa hiyo usipokuww na vitu kama Atm cards upon arrival , wanaweza kukku deport ,how can you acces cash then? kwa case yangu sponsor alinipa statement tamu, nikaenda nayo ubalozini , bahati mbaya sponsor akapata na dharula iliyomfanya atoe pesa nyingi , na bahati mbaya zaidi wale embassy wakapiga simu bank kuulizia salio ikaonekana pesa ninayoclaim haipo kwenye account tajwa na nikanyimwa visa, ilikuwa mwaka 1999 na hadi leo nina hiyo copy ya email.
 
Wakati wabongo wanadhani hakuna fake bank statemets, wapopo walikua wanatoa REAL US Visa kwenye ubalozi fake. Mnashangaa kwanini wapopo wamejazana ulimwenguni kote.

News has travelled the world that an organised gang based in Ghana ran a fake embassy selling real US visas for $6,000 (£4,700) for "about a decade". How did they get away with it for so long?

wapopo sio level zetu , wale kwanza shule. ipo!
halafu hawaogopi mazabe maana wana support za nguvu kila sehemu walipo
 
Concern yake kubwa Kiranga ilikuwa kwa nini jamaa anataka kutumia fedha kwa mambo ambayo ukifata tu utaratibu utapata visa kwa fee ndogo tu
kiukweli mimi hapo ndipo nilipoliona tatizo, lakini pia ukisema mtu kama kiranga akupe abcd za kwenda nje , kutegemeana na sababu kadhaa anaweza asiwe wa msaada kwako, ninaamini kwa the way anavyo behave kiranga anaweza kuwa alikwenda states kwa visa ya studies , sasa mtu kama huyo anaweza asiwe na msaada kama mtu anaplan kwenda kufanya biashara huko Usa
Mkuu,

Kuna mengi ya kuchangia.Nachelea kuchangia zaidi.Kuna mwamba kaniambia niko Buza niache utapeli.

Nimemkubalia yaishe sina muda wa kuanza kubishana na mtu juu ya hilo.

Kwa hiyo niko Buza sasa hivi.
 
Juzi tu CANADA wamepiga simu Bank kujua kama kweli nina account pale na ile BS ni ya kwao

Ndio maana kun kitu kinapelekwa kinaitwa Bank Certificate unakiambatisha na BS
Labda atakuelewa ,
Bs forgery ni kitu kilichopitwa na wakati , ukipractise forgery kwa sasa ni kujitafutia mabalaa tu .mimi walipiga simu benki mwaka 1999 enzi hizo visa tunaombea Nairobi ,
Bs haikuwa feki ila sponsor alitoa pesa baada ya kupata dharula akichukulia itakuwa poa tu
Visa sikupata na sababu walisema account haina pesa , , mind you bs niliyo submit kwneye documents ilikuwa na pesa ya kutosha the day before applying.
 
Joe keshasema
Screenshot_20210516-211009_1.jpg
 
Nina dogo kaferi certificate sijui pakumpeleka bongo naona pagumu sana na passport anayo nilimpatia mwaka wa jana na anapenda sana mpira na magemu ya mpira nikamuwazia mpira bongo atoki labda nchi za ulaya ata hivyo ata akienda kubeba maboksi sio mbaya mnaweza nisaidia hili wakuu
Kwenye mambo ya mpira, akipata chance ya kwenda belgium, au france kama anakipaji atafanikiwa
 
Anza kwenye unafuu kwako mkuu.
Mkuu unafuu kwangu hapa naona unaangukia kwenye zile nchi ambazo Tz tunaweza kuingia bila visa au visa on arrival daah!

Ila pia nafikira Qatar na UAE , hizi kidogo si zinaunafuu kupata visa?
 
Mkuu unafuu kwangu hapa naona unaangukia kwenye zile nchi ambazo Tz tunaweza kuingia bila visa au visa on arrival daah!

Ila pia nafikira Qatar na UAE , hizi kidogo si zinaunafuu kupata visa?

Take your time. Kusanya docs taratibu. Tafuta connections. Tafuta funds, anza application.
 
Back
Top Bottom