Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Mimi kote nimeenda wa ulaya na marekani wanakua na shida kibao huko Asia kuna hela aisee...mtu najivunia kuwa na status harafu hata nauli tuu ya kuja Afrika hana ndugu yangu mmoja alikua na kampuni yake Johannesburg eti kaifunga alienda UK baadae mwenyewe alitafuta nauli ya kurudi na yupo tena End street hapo maisha yanaenda vizuri tu..
Kuna siku nilisema mtu mwenye kipato kizuri hawezi kwenda nje kubahatisha ukabisha sana. Haya huyo rafiki yako naona amekupa jibu.
 
Kuna siku nilisema mtu mwenye kipato kizuri hawezi kwenda nje kubahatisha ukabisha sana. Haya huyo rafiki yako naona amekupa jibu.
Mkuu unachanganya mambo hapa unaweza ukawa na kipato kizuri still ukawa unatafuta opportunity na huna uhakika nayo...huko ulaya mbali watu wamebahatisha Congo,Zambia na Angola na wapo mbali zaidi kuliko mwanzo na wanaongea...
 
Sijui watu gani hao choka mbaya wa Ulaya na Marekani unaowaongelea labda choka mbaya by choice. Asians wenyewe wanakimbilia magharibi, what does that mean?

The US was and still is the land of opportunity. Canada is closing in. Europe ni nchi na nchi.
Shida inakuja kwa Sisi tusio na connection huko, njia za kufika ni ngumu, ufumbuzi nikufanya nini?
 
Sema nenda Nchi za Asia huko kuanzia China,Hongo Kong,Macau,Singapore,Thailand, Cambodia na Vietnam hizo Nchi zina maisha kuliko ulaya na USA...na hapo China,Macau na Thai ndio tunahitaji visa hizo zingine visa yake ukifika airport ila Hong Kong na Singapore mpaka wakufanyie interview ni watata ukiweza chukua visa ya China ukiingia huko unapita na treni kwenda Hong Kong na ukitaka kwenda Singapore kutokea China ni rahisi pia...
Hong Kong wanatoa visa on arrival , I have been there uwe na sehemu ya kufikia tu kama ni hotel onesha booking kama kwa mtu wanataka address na show Money of atlist 100usd , Hong ni kama USA flani wana adi Timesquare garden kama ya America

and Hong Kong you should atlist have something showing there is something your doing back home kama kitambulisho cha kazi , barua ya chuo business license or anything
 
Mkuu with all due respect ulichowasilisha is the most ridiculous thing I've ever read. You mean to say hao uhamiaji wanataka pesa iwe kwenye account yako full time ili tu wao kujiridhisha? Pesa yako haina shughuli zingine? Sitaki kuamini kuna uhamiaji wa nchi fulani ni mazwazwa kiasi hicho.

Inakubalika kutumia sponsor, sasa vp kama umetumia BS ya sponsor maana wengi tu wanaenda kwa kuwa sponsored? Bado watasema onyesha salio anytime huko mbeleni? Unatoaje latest BS ya sponsor on the spot? This doesn't make any sense at all.

Secondly, ubalozi kupiga simu na bank kutoa taarifa za mteja is wrong at all levels. Banks are committed to privacy. Kawaida banks hutoa taarifa kwa serikali tena kwa idhini ya mahakama au kibongo bongo kwa serikali kutumia mabavu ila sio kwa ubalozi au third party kiholela. Kama KE banks zipo loose hivyo basi KE is worse than TZ maana hilo swala bongo halipo kabisa na si bongo tu bali hata nchi zingine, natilia mashaka sana. Mambo ya mabalozi kupiga simu sijui kuingia online na kuangalia bank acc yako ni story za kijiweni na wengi wanaziamini sana.

Nakubaliana na wewe kwamba forgery can be costly ndo maana nimesema lazima mtu ajue anachofanya, take calculated risks na awe willing kukubali matokeo should things backfire. Kutoboa duniani lazima uwe risk taker ukisubiri kila kitu kiende kimenyooka utasubiri sana. Wengine tumecheza sana on the blurry zone so I know what I'm talking about.

Juzi tu CANADA wamepiga simu Bank kujua kama kweli nina account pale na ile BS ni ya kwao

Ndio maana kun kitu kinapelekwa kinaitwa Bank Certificate unakiambatisha na BS
 
Ndugu zangu Nimekua kwenye hizi process za kuomba visa aisee nimejua vitu vingi sana

USA sio vyepesi
CANADA sio vyepesi
UK, AUSTRALIA and NEW ZEALAND sio kwepesi

Yaani hizo nchi hapo juu wanaigeria wao wanasema " you need a grace of GOD" kwa sisi "wanyonge" yaani utakutana tu na "I am not satisfied that you will leave Canada at the end of your stay, as stipulated in subsection 216(1) of the IRPR, based on your ...........(reasons)

cheki huyu mwamba sasa na hakati tamaa
1st Refusal (Visitor Visa applied from India in Jan 2020) - Feb 2020
2nd Refusal (Study permit applied from UAE in Nov 2020) - Dec 2020
3rd Refusal (Study permit applied from UAE in Feb 2021) - Apr 2021
Re-Applied from India on 7th May for May 2021 intake

visa za uanafunzi ni Nyepesi sana kwa nchi za EU
 
w
Ndiyo maana nikasema kwamba nimepata tabu sana kuujibu uzi huu, na nilikataa kuujibu nikawa napewa tags kuujibu.

Nilijua kwamba nikiujibu ni lawama (majibu yangu hayataeleweka kwa wengine) na nisipoujibu ni lawama (Kiranga tunamuita ajibu na kusaidia kwenye uzi anaringa).

Ila ukae ukijua kitu kimoja, mimi siko hapa ili wewe unione mtu mzuri sana.

Ukinitag kutaka maoni yangu, nakupa maoni yangu.

Na siogopi kuonekana mpumbavu, naogopa kuogopa kuonekana mpumbavu.

Nimetoa majibu kwa hoja, umerudi kunishambulia kwa kitu kinachoitwa "ad hominem" kwa kilatini.

An ad hominem attack, yani, kuacha kujibu hoja za mtu na kuanza kumshambulia mtu mwenyewe kibinafsi, ni attack fulani za watu mufilisi wa hoja ambao wameshindwa kujadili hoja wanatukana mtu.

Sasa mimi kusema sitaki kumsaidia mtu kusafiri nje kwa njia za mkato, kwa kuwa njia sahihi zinajulikana nimefanya kosa gani?

Au mimi kusema sipendi watu wanaotumia fedha kupindisha utaratibu nimekosea nini?

Au mimi kusema sitaki kusaidia rushwa na hadaa nimekosea nini?

Au mimi kusema siku hizi kuna watu wengi wanafanya uhalifu wa biashara za madawa ya kulevya na ugaidi, na hivyo kumsaidia mtu nisiyemjua ni jambo hatari nimekosea nini?

Jifunze siku nyingine usiwa tag watu kuwaomba msaada katika mambo ambayo hawayafagilii, wasije kukukatalia halafu ukawalaumu wao kwa kusimamia misimamo yao na kukueleza kuhusu misimamo hiyo, wakati umewaomba msaada wewe mwenyewe.

Wewe unataka nikufuate inbox wakati wewe hujanifuata inbox, sawa hiyooo?


Haaaaaata, hiyo si sawa LaRosa, wacha vitukoo.
we jamaa utakuta uko buza na simu yako ya techno unaandika nyuzi ndefuuu hamna lolote, keyboard worrier
 
Ni kwema wazawa?

Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale Ubalozini wanipe Visa smoothly.

Kwa hivyo kama kuna agent anahisi anamudu kufanya hii kazi. Anisaidie kwa gharama ya $1000 Kama malipo au kifuta jasho kwake.

Kama pia Kuna mtu anaweza kunitumia invitation letter akiwa huko. It's all good! Nae atapata kitita tajwa.

Kiranga Nyani Ngabu hata Canada, USA Kama possible I'm ready to roll.

Don't worry! I'll wait for your Noble response.

Nakaribisha ushauri.
Mkuu unazamia au una kamzigo?
 
Sawa mimi conman. Umefurahi sasa?

Yani umesema mimi tapeli nipo Buza.

Nimekubali mimi tapeli nipo Buza.

Ushafurahi na roho yako?
ndio nafurah. Kwa kua nshakujua. So sitaingia 18 zako
 
Tushajadili sana mambo ya visa humu jukwani. Mleta uzi ajaribu kusearch atapata majibu yake.

Ipo hivi, ubalozi haupigi simu bank yeyote na bank haiwezi toa taarifa za mteja wake kama sio takwa la mahakkama. Hiyo ni sheria sio hisani.

Hizo ni story za mitaani tu, watu hii michezo tushaifanya sana.
Wanafanya siku hizi..zamani ndio walikuwa hawafanyi au bank wenyewe watume bank statement wenyewe from official email na responsible person wa bank.
 
Ubalozi wa Australia nairobi wanapiga simu hadi bank husika , iloshawahi nitokea
Halafu Bs unafoji vipi wakati unaweza kubanwa wakati wowote uoneshe salio? Siku hizi Watu wanatembea na ATM cards ambazo zina link moja kwa moja na account yako,
Forgery kwenye makaratasi ya kuombea viza inawezekana ila ukiwa safarini inaweza kukukost anytime. Na ukawa deported.
Aussie wanaverify kila taarifa.
 
Ndugu zangu Nimekua kwenye hizi process za kuomba visa aisee nimejua vitu vingi sana

USA sio vyepesi
CANADA sio vyepesi
UK, AUSTRALIA and NEW ZEALAND sio kwepesi

Yaani hizo nchi hapo juu wanaigeria wao wanasema " you need a grace of GOD" kwa sisi "wanyonge" yaani utakutana tu na "I am not satisfied that you will leave Canada at the end of your stay, as stipulated in subsection 216(1) of the IRPR, based on your ...........(reasons)

cheki huyu mwamba sasa na hakati tamaa
1st Refusal (Visitor Visa applied from India in Jan 2020) - Feb 2020
2nd Refusal (Study permit applied from UAE in Nov 2020) - Dec 2020
3rd Refusal (Study permit applied from UAE in Feb 2021) - Apr 2021
Re-Applied from India on 7th May for May 2021 intake

visa za uanafunzi ni Nyepesi sana kwa nchi za EU
Nyuzi kama hizi wajanja hawachezi mbali, Infos nyingi balozi wanaziverify hasa BS, Peleka documents za uwongo, unapigwa bani la miaka 10 kwa nchi kama US
 
Back
Top Bottom