Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

Uk hawana masharti Mengi kama USA na GErmany , unahitaji Kua na barua ya mualiko, barua ya Kazini , barua ya agent utakaponunua ticket , bank statement zako that’s it , husiliwe hela kuna Stationery wanasaidia kujaza zile forms za viza online na hakuna interview una peleka documents zako viva tower
Hizo documents unapeleka viva tower office gani tena ?
 
Mkuu
Wauza madawa ya kulevya sio watu wadogo na hawaungi ungi Safari Kama Mimi hivi.
Hawa wako full documents, Wana passport, Visa na pocket money ya kutosha.
I wish Kama ungenipa mchongo wa kuuza madawa I wouldn't hesitate because I always calculate my risks and if it pays off.... I'm in! Na Safari yangu ingekuwa very smooth.
Why Belgium, Germany na Finland?
 
Wee. LARosa hasa unataka kwenda nchi gani? Nadhani wewe unataka popote ulaya au America kutafuta maisha. Kila la kheri ndugu yetu.
Lazma tukaishi nao huko majuu mkuu.
 
Uk hawana masharti Mengi kama USA na GErmany , unahitaji Kua na barua ya mualiko, barua ya Kazini , barua ya agent utakaponunua ticket , bank statement zako that’s it , husiliwe hela kuna Stationery wanasaidia kujaza zile forms za viza online na hakuna interview una peleka documents zako viva tower
Shukrani Sana, vipi kuhusu Australia je?
 
Huko ndo Kuna maisha mkuu. Poland na kwingineko ni vilio vitupu.
Nimekupata mkuu ... tangulia, ukifanikiwa utujulishe.
mimi naendelea na process Mungu akipenda huu mwaka inabidi nifanye namna nitoke Tz
 
Hzi visa za Eu / US ni ngumu kupata je hhwa zinadumu kwa muda gani? Taratibu za kurenew ni ngumu sana ..? Maana kwa maelezo ya watu wakishapewa wanazamia
 
Dollar elfu moja ni nyingi mkuu unata fake Visa au genuine one

Fake visa to all over EU euro 400
Genuine EU visa euro 3000
Visa yako utatumiwa kwa Dhl unaipokea posta

Nothing is impossible in this fuckng world
Huwezi fake visa Acha uongo
 
Mkuu with all due respect ulichowasilisha is the most ridiculous thing I've ever read. You mean to say hao uhamiaji wanataka pesa iwe kwenye account yako full time ili tu wao kujiridhisha? Pesa yako haina shughuli zingine? Sitaki kuamini kuna uhamiaji wa nchi fulani ni mazwazwa kiasi hicho.

Inakubalika kutumia sponsor, sasa vp kama umetumia BS ya sponsor maana wengi tu wanaenda kwa kuwa sponsored? Bado watasema onyesha salio anytime huko mbeleni? Unatoaje latest BS ya sponsor on the spot? This doesn't make any sense at all.

Secondly, ubalozi kupiga simu na bank kutoa taarifa za mteja is wrong at all levels. Banks are committed to privacy. Kawaida banks hutoa taarifa kwa serikali tena kwa idhini ya mahakama au kibongo bongo kwa serikali kutumia mabavu ila sio kwa ubalozi au third party kiholela. Kama KE banks zipo loose hivyo basi KE is worse than TZ maana hilo swala bongo halipo kabisa na si bongo tu bali hata nchi zingine, natilia mashaka sana. Mambo ya mabalozi kupiga simu sijui kuingia online na kuangalia bank acc yako ni story za kijiweni na wengi wanaziamini sana.

Nakubaliana na wewe kwamba forgery can be costly ndo maana nimesema lazima mtu ajue anachofanya, take calculated risks na awe willing kukubali matokeo should things backfire. Kutoboa duniani lazima uwe risk taker ukisubiri kila kitu kiende kimenyooka utasubiri sana. Wengine tumecheza sana on the blurry zone so I know what I'm talking about.
naangaliaga kipindi kinaitwa border security Australia. Ukifika pale airport wale maafisa uhamiaji wakiwa na mashaka na wewe, especially Kama kuforge bank statement wanakupeleka kwenye ATM za airport unaambiwa uangalie salio wakiona.
Kama ulidanganya unadeportiwa na next available flight.
 
Hata kama tunataka kusaidiana kufikisha malengo, kusaidiana kwa kufuata njia zilizowekwa ni kuzuri kuliko njia za panya.

Yani hata kama unafanya makaratee na masarakasi, unatakiwa kufanya hayo makaratee na masarakasi kwa akili mpaka serikali inapojua unafanya makaratee ishindwe kukufanya lolote, kwa sababu unayafanya ndani ya sheria zilizowekwa!

Mimi niko viwanja vikubwa nimeingia kwa njia za kueleweka nafurahia maisha, sijawahi kuwa out of status hata kwa sekunde moja mpaka nimechukua uraia wa Mnyamwezi.

Naona watu wanavyohangaika kila siku kwa sababu tu hawakufuata njia zinazoeleweka, watu wamesoma wanafanya kazi ziko chini sana ya uwezo wao, watu wanafiwa na wazazi wao wanashindwa kurudi Africa kuzika kwa sababu wakiondoka hawana uhakika wa kurudi tena ughaibuni, watu wanaishi kinyemela nyemela kwa unyonge sana, hata wakifanyiwa uonevu hawawezi kushitaki kwa kuogopa kuwa deported.

Kwa hiyo hizo njia mnazoona shortcut ndiyo kiuhalisia zinaweza kuwa ndefu zaidi katika maisha, na hizo njia mnazoona ndefu ndiyo zinaweza kuwa na manufaa zaidi.
Mkuu unachoongea upo sahihi kinachotakiwa ni kutoa hizo njia sahihi ili wengine wafate huo mstari maana taarifa sahihi ndio power ya kila na walioingia njia za panya huwa naamin kukosa kwao taarifa sahihi na maisha yetu yalivyo yanawafanya wapite hivyo na ukizingatia kitambo kidogo nchi zinazoeleweka kupata visa na kuonyoosha mambo yako ilikua mtihani..tuliosafiri tuwatoe matongo tongo madogo ili wao wapate unafuu
 
naangaliaga kipindi kinaitwa border security Australia. Ukifika pale airport wale maafisa uhamiaji wakiwa na mashaka na wewe, especially Kama kuforge bank statement wanakupeleka kwenye ATM za airport unaambiwa uangalie salio wakiona.
Kama ulidanganya unadeportiwa na next available flight.
Australia ni kiboko harafu wanajua kabisa nia ya wasafiri aisee...
 
Back
Top Bottom