OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Kuna uzi flani mleta maada aliwahi kuchangia kuwa anafanya biashara fulani huko zanzibar na imemtoa kwa muda mfupi kaanza kupiga pesa ndefu,
Basi watu wakaanza kumuomba awaelekeze ili nawao wajikwamue kimaisha jamaa ulikataa kata kata,
Wengine wakaanza kuhisi huenda ni biashara haramu, nilichojifunza ni kwamba Kiranga ni mtu makini sana anaweza kunusa udanganyifu au hatari kwa haraka sana, kiufupi Luna uwezekano wa mtu kuingia matatizoni
Basi watu wakaanza kumuomba awaelekeze ili nawao wajikwamue kimaisha jamaa ulikataa kata kata,
Wengine wakaanza kuhisi huenda ni biashara haramu, nilichojifunza ni kwamba Kiranga ni mtu makini sana anaweza kunusa udanganyifu au hatari kwa haraka sana, kiufupi Luna uwezekano wa mtu kuingia matatizoni