Amarosa
Member
- Jan 13, 2018
- 32
- 23
Wasalaam, kutokwa na jasho ni kitendo cha kiafya ila ikizidi inageuka kero na kukosesha amani.
Huwa najisikia ovyo sana kuona nguo yangu imeloa jasho sehemu ya kwapani kwa jua la sasa yani nguo hadi mgongoni inaloana, bad enough nakua naenda kazini yani sipendi hii hali nakuwa sina amani kuloana hivo tena kazini.
Msaada wenu please
Huwa najisikia ovyo sana kuona nguo yangu imeloa jasho sehemu ya kwapani kwa jua la sasa yani nguo hadi mgongoni inaloana, bad enough nakua naenda kazini yani sipendi hii hali nakuwa sina amani kuloana hivo tena kazini.
Msaada wenu please