bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Omba Mungu akusaidie upate nafasi ya kuzipiga Kodi zetu,kuumia au kulaumu ni matumizi mabaya ya akili yako. Jukumu lako ni kulipa Kodi matumizi yake sio jukumu lakoNa hizo Sherehe za kupokea Ndege Airport pia huwa kuna kipigo cha hali ya chini.
Mungu aniepushe, kwanza Mungu mwenyewe ananijua mimi sio mwizi.Omba Mungu akusaidie upate nafasi ya kuzipiga Kodi zetu,kuumia au kulaumu ni matumizi mabaya ya akili yako. Jukumu lako ni kulipa Kodi matumizi yake sio jukumu lako
wangekarabati na viwanja vya ndege,kununua ndege bila ukarabati ni sawa na kununua mkoti wakati shati limechanikaNi kweli, ndege ya pili aina ya B737-9Max inaweza kukabidhiwa kwa ATCL wakati wowote ingawa imechelewa.
B787-8 moja tangu mwaka jana iko parking Malaysia. Bombardier Q300 Iko parking Malta, wakati Airbus 220-300 ni moja au mbili tu zinazofanya kazi iliyokusudiwa, nyingine ziko parking au matengenezoni.
Najiuliza tu kama tuna kazi ya kununua ndege zifike hadi mia huku zikitumika zaidi kwenye ziara za viongozi ughaibuni? 😲
Basi endelea kuumiaMungu aniepushe, kwanza Mungu mwenyewe ananijua mimi sio mwizi.
Nshakuwa Sugu.Basi endelea kuumia
Hatuagizi mkuu hiyo ni danganya toto, yule kiongozi wa "MALAIKA" ndo aliweka order, hivo lazima tuichulue baba, sasa kwasababu tulizonazo zinatushinda na tunaziendesha kwa hasara.... kwanini hii tusimpelekee huko?!!!!Wiki ijayo tunapokea ndege nyingine ya fedha nyingi sana ambayo itaungana na ndege zingine za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).
Ununuzi wa ndege za mabilioni si tatizo, tatizo ni pale tumeruka hatua muhimu. Tulipaswa kutatua masuala ya maji, umeme, elimu, na afya kwanza kabla ya kufikiria kununua ndege.
Inafika wakati ambapo viongozi na waalikwa katika sherehe za kupokea ndege wanafananishwa na watu wasio na akili. Shule nyingi zina madarasa yanayoonekana kama maghala au mabanda ya kuhifadhi mkaa.
Vyoo na madarasa ambayo serikali inajivunia mtandaoni ni msaada wa COVID-19. Ni vipi tunafanya mambo muhimu kwa msaada halafu pesa zetu zinanunua ndege za mabilioni?
Choo cha shule kinajengwa kwa msaada. Je, unajenga choo kwa msaada na bado unataka sifa mara tatu? Leo hii, matibabu ya wazee na watoto ni bure lakini wanapata tu vipimo na wanapewa Panadol na Aluu, halafu wanatakiwa kununua dawa nyingine dukani.
Hali hii itaendelea hadi lini?
Kwa sasa, tuache masuala ya ndege kwa mashirika binafsi. Tutatue kwanza suala la vyoo shuleni na katika zahanati. Kuna choo kimoja karibu na mahakama, kinafunguliwa na msimamizi, ukiona unahitaji kwenda, lazima ulipe.
Bei ya Boeing 737-9 Max sokoni ni kubwa sana. Fedha hizo zingeweza kutumika kujenga madarasa ya kisasa bila kikomo. Watoto wakiwa darasani, wanaweza kufikiria wako chooni. Madarasa ni mabovu, na ofisi za walimu katika shule za umma zina mashimo ya kutosha.
View attachment 2942533
Kweli kabisa....🙆🙆🙆🙆Wewe kuumia moyo haitasaidia kitu.
Na hakuna wakumlaumu zaidi yako mwenyewe, actually sisi wananchi wajinga,
Ngoja nikuambie kitu.
Watanzania kukosa maji au matibabu au hata msosi hiyo ni jambo la kawaida.
Watanzania wameishi maisha ya shida angali wakiwa wadogo na wamezoea hivyo kwahiyo kukosa hizo huduma ulizosema kamwe haziwezi kutushtua.
Hao unaowaita viongozi ni upande mmoja tu.
Ukitaka kumpata mtu wakumlaumu ingia chumbani kwako tazama kwenye kioo. Utamwona.
Ndege za Samia hizo za kutanua. Fedha zinapigwa halafu mwaka ujao utasikia ''tumeshindwa kuendesha shirika, ni bora tuwape wawekezaji kutoka Uarabuni.Hayo mambo MATAGA ndio wanayapenda sasa
Hakuna wakumlaumu Samia. Wakulaumiwa ni aliyekukata ki**mbe.Hiyo mikataba alishasaini yule mbwa aliyekufa na akala cha juu,tuko katika utekelezaji tu, SSH wala asilaumiwe
Halafu ndege yenyewe Boeing 737-9 Max hata bure sipandi.Wiki ijayo tunapokea ndege nyingine ya fedha nyingi sana ambayo itaungana na ndege zingine za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).
Ununuzi wa ndege za mabilioni si tatizo, tatizo ni pale tumeruka hatua muhimu. Tulipaswa kutatua masuala ya maji, umeme, elimu, na afya kwanza kabla ya kufikiria kununua ndege.
Inafika wakati ambapo viongozi na waalikwa katika sherehe za kupokea ndege wanafananishwa na watu wasio na akili. Shule nyingi zina madarasa yanayoonekana kama maghala au mabanda ya kuhifadhi mkaa.
Vyoo na madarasa ambayo serikali inajivunia mtandaoni ni msaada wa COVID-19. Ni vipi tunafanya mambo muhimu kwa msaada halafu pesa zetu zinanunua ndege za mabilioni?
Choo cha shule kinajengwa kwa msaada. Je, unajenga choo kwa msaada na bado unataka sifa mara tatu? Leo hii, matibabu ya wazee na watoto ni bure lakini wanapata tu vipimo na wanapewa Panadol na Aluu, halafu wanatakiwa kununua dawa nyingine dukani.
Hali hii itaendelea hadi lini?
Kwa sasa, tuache masuala ya ndege kwa mashirika binafsi. Tutatue kwanza suala la vyoo shuleni na katika zahanati. Kuna choo kimoja karibu na mahakama, kinafunguliwa na msimamizi, ukiona unahitaji kwenda, lazima ulipe.
Bei ya Boeing 737-9 Max sokoni ni kubwa sana. Fedha hizo zingeweza kutumika kujenga madarasa ya kisasa bila kikomo. Watoto wakiwa darasani, wanaweza kufikiria wako chooni. Madarasa ni mabovu, na ofisi za walimu katika shule za umma zina mashimo ya kutosha.
View attachment 2942533
Hii si ndio mama alisema stupid tena ulikuwa mfungo, sijui ile issue imeishia wapi.Percentage watapigia wapi ssa
Ni afadhali wanunue maboeing hayo kuliko wakigawana pesa hizo kama posho za wao kuhudhuria makongamano, semina, vikao na warsha zisizojulikanaWiki ijayo tunapokea ndege nyingine ya fedha nyingi sana ambayo itaungana na ndege zingine za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).
Ununuzi wa ndege za mabilioni si tatizo, tatizo ni pale tumeruka hatua muhimu. Tulipaswa kutatua masuala ya maji, umeme, elimu, na afya kwanza kabla ya kufikiria kununua ndege.
Inafika wakati ambapo viongozi na waalikwa katika sherehe za kupokea ndege wanafananishwa na watu wasio na akili. Shule nyingi zina madarasa yanayoonekana kama maghala au mabanda ya kuhifadhi mkaa.
Vyoo na madarasa ambayo serikali inajivunia mtandaoni ni msaada wa COVID-19. Ni vipi tunafanya mambo muhimu kwa msaada halafu pesa zetu zinanunua ndege za mabilioni?
Choo cha shule kinajengwa kwa msaada. Je, unajenga choo kwa msaada na bado unataka sifa mara tatu? Leo hii, matibabu ya wazee na watoto ni bure lakini wanapata tu vipimo na wanapewa Panadol na Aluu, halafu wanatakiwa kununua dawa nyingine dukani.
Hali hii itaendelea hadi lini?
Kwa sasa, tuache masuala ya ndege kwa mashirika binafsi. Tutatue kwanza suala la vyoo shuleni na katika zahanati. Kuna choo kimoja karibu na mahakama, kinafunguliwa na msimamizi, ukiona unahitaji kwenda, lazima ulipe.
Bei ya Boeing 737-9 Max sokoni ni kubwa sana. Fedha hizo zingeweza kutumika kujenga madarasa ya kisasa bila kikomo. Watoto wakiwa darasani, wanaweza kufikiria wako chooni. Madarasa ni mabovu, na ofisi za walimu katika shule za umma zina mashimo ya kutosha.
View attachment 2942533
Aliyeandika post hii yuko kama vile ni mtoto mbweha ndiyo maana anaonyesha chuki dhidi ya mbwa.Hiyo mikataba alishasaini yule mbwa aliyekufa na akala cha juu,tuko katika utekelezaji tu, SSH wala asilaumiwe
Wiki ijayo tunapokea ndege nyingine ya fedha nyingi sana ambayo itaungana na ndege zingine za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).
Ununuzi wa ndege za mabilioni si tatizo, tatizo ni pale tumeruka hatua muhimu. Tulipaswa kutatua masuala ya maji, umeme, elimu, na afya kwanza kabla ya kufikiria kununua ndege.
Inafika wakati ambapo viongozi na waalikwa katika sherehe za kupokea ndege wanafananishwa na watu wasio na akili. Shule nyingi zina madarasa yanayoonekana kama maghala au mabanda ya kuhifadhi mkaa.
Vyoo na madarasa ambayo serikali inajivunia mtandaoni ni msaada wa COVID-19. Ni vipi tunafanya mambo muhimu kwa msaada halafu pesa zetu zinanunua ndege za mabilioni?
Choo cha shule kinajengwa kwa msaada. Je, unajenga choo kwa msaada na bado unataka sifa mara tatu? Leo hii, matibabu ya wazee na watoto ni bure lakini wanapata tu vipimo na wanapewa Panadol na Aluu, halafu wanatakiwa kununua dawa nyingine dukani.
Hali hii itaendelea hadi lini?
Kwa sasa, tuache masuala ya ndege kwa mashirika binafsi. Tutatue kwanza suala la vyoo shuleni na katika zahanati. Kuna choo kimoja karibu na mahakama, kinafunguliwa na msimamizi, ukiona unahitaji kwenda, lazima ulipe.
Bei ya Boeing 737-9 Max sokoni ni kubwa sana. Fedha hizo zingeweza kutumika kujenga madarasa ya kisasa bila kikomo. Watoto wakiwa darasani, wanaweza kufikiria wako chooni. Madarasa ni mabovu, na ofisi za walimu katika shule za umma zina mashimo ya kutosha.
View attachment 2942533
tameer huko wapi uje udislike huku?Hiyo mikataba alishasaini yule mbwa aliyekufa na akala cha juu,tuko katika utekelezaji tu, SSH wala asilaumiwe