Hahaha,badili tabia umenchekesha,lol!
Pole driller. Ndo tatizo la camp, unakua umechoka unakula minyama tu na canned fruits ambazo zimepikwa na hazina vitamin C. Anza kula matunda fresh na mboga za majani, kachumbari pia. Vidonda vya ulimi vikijirudia muone dr kabla fizi hazijaanza kuvimba na kutoa damu. Pole sana.