Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman
Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman
Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana
Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo
Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan
Naumia sana
Niomben ndugu zangu
Wenu london boy
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman
Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman
Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana
Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo
Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan
Naumia sana
Niomben ndugu zangu
Wenu london boy