Ninaumwa wana JF wezangu maombi yenu tafadhali nisije kata moto

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman

Homa kali imenikamata toka juz lakin jana na leo imezidi jaman

Naomba mniombee ndugu zangu naumwa sana

Jana usiku ndo nilijuwa nakata moto kabisa nimeenda hospital nimepima lakin madakitar hawajaona ugonjwa wowote lakin natapika, natetemeka nahis kizungu zungu na kichwa kinagonga sana vile vile nahis kama barid na joto hapo hapo

Naumia sana maana siyo kwamba sina pesa za kujitibu pesa zipo lakin sasa sijui naumwa kitu gan

Naumia sana

Niomben ndugu zangu

Wenu london boy
 
Umepima upungufu wa kinga mwilini!? Isijekuwa uliwapa limit madaktari vitu vya kukupima
 
mtu kama wewe kuaminika huwaga ngumu sana sijui kwanini mkuu
Lakin kabsa sijasahau Ugua pole mdogo wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…