Ninaumwa wana JF wezangu maombi yenu tafadhali nisije kata moto

Yaani unapima Malaria, Mkojo na Choo kubwa tu halafu unasema Madaktari wamekosa ugonjwa!

Acha kuwaaibisha Madaktari wetu.

Pole Sana mdogo wangu. Ukiwa kifungoni huwa tunakosa uchangamfu wako.
Asante sana kaka yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…