Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Dah mkuu, hiyo hela kubwa hasa kipindi hiki cha Tanzania ya viwanda lakini kwa thamani ya gari yenyewe utakuwa umenibana sana mkuu. ongeza ongeza mkuu angalau ufikishe 12. tunaweza kufikia point nzuri.8M unachukua mkuu?
Wanasema shangaa mara 1, ya pili unauliza sasa wewe umeshangaa mara 3 mfululizo. hahahaha. Mkuu nunua gari upige kazi.[emoji15] [emoji779] [emoji780] [emoji780] [emoji780] [emoji780]
Acha kuzingua, kama kuna mteja anaitaka ataenda na fundi wake akagueHiyo picha ni baada yakutoka garage kupigwa rangi eti mkuu?
Mkuu, kulingana na 'simulizi za mwenye kaya', Sinza sasa hivi vyumba ni bwerere. C unajua Sinza viwanda vimehama? Wapangaji wanafuata viwanda bhana. Viwanda sasa vimehamia Kibaha...Shikamo dalali natafuta chumba sinza vipi nitapata?
ukitaka kuiona gari wasiliana na namba hapo juu, unaweza kuiona kati ya temeke na muhimbili muda wowote kati ya saa 12 asubuhi hadi saa mbili usiku.
Ndio. Wewe hujui magari, ungejua usingeuliza swali hilo.Hiyo picha ni baada yakutoka garage kupigwa rangi eti mkuu?
Ndio.Mkuu naona tangu Zitto aliwe kichwa Chadema siasa zimekushinda umeamua kuwa Dalali.
Wakati wewe unataka 8, wenzako wanasema lazima itakuwa ni mbovu maana m13 ni ndogo sana. Wanadamu tuna kazi kweli kweli.Nimepiga mahesabu hiyo gari imeingia kwenye 2010! Miaka sita si haba. Mmeshatengeneza pesa ya kutosha kwa hiyo gari. Chukua hiyo nane na mwenzenu akaanzie maisha... Acheni tamaaa.