Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Wakuu,
Ninauza Coaster Bus safi inafanya kazi ya daladala kati ya Temeke na Muhimbili. Gari ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha na ipo barabarani inaendelea na kazi. Bei ni Mil. 13. Mazungumzo yapo kwa hiyo kama upo serious njoo tuzungumze. Kwa mawasiliano piga 0657457971 au 0685247148 (msimamizi wa gari). Karibuni sana wakuu gari ipo sokoni!
Ninauza Coaster Bus safi inafanya kazi ya daladala kati ya Temeke na Muhimbili. Gari ipo vizuri kama inavyoonekana katika picha na ipo barabarani inaendelea na kazi. Bei ni Mil. 13. Mazungumzo yapo kwa hiyo kama upo serious njoo tuzungumze. Kwa mawasiliano piga 0657457971 au 0685247148 (msimamizi wa gari). Karibuni sana wakuu gari ipo sokoni!