mercphason
Member
- Dec 27, 2013
- 60
- 41
Naiuza hii nissan yangu haina shida yoyote ila imepaki muda mrefu sababu nipo mkoani kwa muda sasa, hapo inawaka na kutembea bila shaka 2 M tu naitupa.
0787037744.
0787037744.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu..Uliomtuma akapige picha mwambie aIfanyie basi usafi ionekane sio uchafu, ndo apige tena upost.
Hamna picha nyingine?Naiuza hii nissan yangu.. haina shida yoyote ila imepaki mda mrefu sababu nipo mkoani kwa mda sasa.. hapo inawaka na kutembea bila shaka.. 2 M tu naitupa.. 0787037744View attachment 2610490View attachment 2610489View attachment 2610491View attachment 2610492
Toa tangazo lililokamilika. Toa details zote za gari, mfano ni gari gani? Ya lini, ukubwa wa injini nkNaiuza hii nissan yangu.. haina shida yoyote ila imepaki mda mrefu sababu nipo mkoani kwa mda sasa.. hapo inawaka na kutembea bila shaka.. 2 M tu naitupa.. 0787037744View attachment 2610490View attachment 2610489View attachment 2610491View attachment 2610492
Tuna safari ndefu hata tangazo nalo mpaka mtu aelekezweToa tangazo lililokamilika. Toa details zote za gari, mfano ni gari gani? ya lini, ukubwa wa injini nk
Sawa. Ngoja nimwambie aioshe na kupiga vizuriPiga picha vizuri kwa utulivu
Hapana imepaki tu muda, haipo juu ya mawe hapo unaenda unawasha na kuondoka.. ruksa kwenda na fundi wako.mbona iko juu ya mawe unauza ugonjwa??
Hapo labda kulipia bima tu ngoma unawasha na kuondokaHaina shida yoyote?
Kwa kweli gari iliyopaki gereji naiogopa, hapo ni gereji block ya engine hiyo kwenye picha imenitambulisha kwamba hapo ni kwa fundi.mbona iko juu ya mawe unauza ugonjwa??
Nimeagiza litolewe lioshwe lipigwe picha vizuri mkuuNi ngumu kumuaminisha mtu kuwa hiyo gari inatembea hapo ilipo kutokana na mazingira na hali iliyo nayo.
Kwenye biashara huwa wanasema 'retail is detail". Ipe thamani biashara yako kwa kuzingatia vitu vidogo vidogo tu ambavyo vinaweza kubadilisha hata mtazamo wa mteja.
Kwa picha hiyo, jiiandae na wajuaji wa JF wanaomiliki ma Range ya nadharia huku wakiwa hawana hata mkokoteni kuwa hilo ni scrapper na kupewa offer za iaki 2.
Ni eneo langu kaka hilo, hapo lipo sababu ya kupaki tu.kwa kweli gari iliyopaki gereji naiogopa, hapo ni gereji block ya engine hiyo kwenye picha imenitambulisha kubwa hapo ni kwa fundi.
Sawa.. toa ngoma kwa stanley/kipara nitakupa namba pia kwa kuelekezwaNipe location mkuu nakuja pm