mercphason
Member
- Dec 27, 2013
- 60
- 41
- Thread starter
- #21
Sawa nishaagiza iloPiga picha vizuri kwa utulivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nishaagiza iloPiga picha vizuri kwa utulivu
Hapo Ni kwa fundi mkuukwa kweli gari iliyopaki gereji naiogopa, hapo ni gereji block ya engine hiyo kwenye picha imenitambulisha kubwa hapo ni kwa fundi.
Ndio rasheen mkuuHiyo ni Rasheen?
Hapana bro.. jiongeze kidogoKula milioni moja mkuu
Ml 1 nikupe sasahiviHamna picha nyingine?
HapanaMl 1 nikupe sasahivi
Sema ilipaki ikiwa haina shida yoyote. Gari yoyote ukishaipaki kwa muda mrefu kuna vitu vingi lazima uvibadilishe ili irejee barabarani.Haina shida yoyote?
Nimeipenda sema timing, location na bei yako inanipa ugumu maana kulinyanyua hapo itabidi niweke tena M2 nyingine.Ndio rasheen mkuu
Mkuu hapo inatembea na inafanya kazi.. imepaki kwa mda mrefu tu.. hapo ukifika unawasha na kuondokaNimeipenda sema timing,location na bei yako inanipa ugumu maana kulinyanyua hapo itabidi niweke tena M2 nyingine.
DohNtakupa 1,900,000 laki natoa kwaajili ya kuiosha we kuosha si imekushinda
We ni muhindi nini? Mbona hapo kwako umejaza magari yanayoonekana yote mabovu?
Hapana mkuu.. vipo vimeo vingi tu vimepark.. karibu upitie pitieWe ni muhindi nini? Mbona hapo kwako umejaza magari yanayoonekana yote mabovu?
Mawe ndio yako juu ya gariMbona iko juu ya mawe, unauza ugonjwa??