SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

Status
Not open for further replies.
Habari wakuu.

Nina shamba langu nauza, lipo bagamoyo kijiji cha fukayosi.

Ni takriban kilomita 18 kutokea bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.

Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.

Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.


Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.

Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.

Tunaweza kuwasiliana kupitia PM Kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.

Kwa wahitaji karibuni sana.

Millions 3 kwa zote?na je kuna umbali gani kutoka balabala ya RAMI mpk shamba?
 
mil3????? aisee je vipi kuhusu maji yako karibu au hakuna maji?

na kuhusu hilo shamba halina migogoro yoyote maana unaweza uziwa gunia kavu?
 
Hata siku moja.
Nimefika huko bado sana kwa kusema kilimo.
Sio kama nakuharibia biashara hapana, picha nazo ungetuma zingesaidia ila hapana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nanasi zinalimwa sana huku, sijui kilimo gani haswa unachozungumzia.

Kuhusu kuniharibia biashara hauwezi mkuu maana hata usiponunua wewe atanunua mwingine Mwenye uhitaji maana malengo yanatofautiana, wewe unaweza kuhitaji eneo kwa ajili ya kilimo huku mwenzio akalihitaji eneo hilohilo kwa ujenzi.

Kwa hiyo usijali boss wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nanasi zinalimwa sana huku, sijui kilimo gani haswa unachozungumzia.

Kuhusu kuniharibia biashara hauwezi mkuu maana hata usiponunua wewe atanunua mwingine Mwenye uhitaji maana malengo yanatofautiana, wewe unaweza kuhitaji eneo kwa ajili ya kilimo huku mwenzio akalihitaji eneo hilohilo kwa ujenzi.

Kwa hiyo usijali boss wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu ambapo mananasi yanapatikana hakuna mashamba ambayo yanauzwa. Nilikuja nikapitishwa sehemu hiyo, mara nasonga mbele tu hadi nakutana na pori mbele sana sana tu.
Kama ni maeneo yanapolimwa nanasi sema. Lkn si vingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sehemu ambapo mananasi yanapatikana hakuna mashamba ambayo yanauzwa. Nilikuja nikapitishwa sehemu hiyo, mara nasonga mbele tu hadi nakutana na pori mbele sana sana tu.
Kama ni maeneo yanapolimwa nanasi sema. Lkn si vingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilichosema ni kwamba eneo linafaa kwa kilimo cha nanasi pia, pia siyo kweli umepitishwa maeneo yote panapolimwa nanasi na hujakuta hata sehemu moja haiuzwi kwa kuwa ninawafahamu watu wengi wanaouza maeneo hata yakiwa tiyari yameshaoteshwa nanasi tiyari.

Usijaribu kupotosha umma kwa findings zako za uongo boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom