Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu.
Nina shamba langu nauza, lipo bagamoyo kijiji cha fukayosi.
Ni takriban kilomita 18 kutokea bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.
Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.
Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.
Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.
Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.
Tunaweza kuwasiliana kupitia PM Kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.
Kwa wahitaji karibuni sana.
Karibu mkuu eneo anaweza kumiliki ama kuishi mtu wa itikadi yoyote bila kujali chamaKwa taarifa hayo ndio maeneo salama ya kuishi tanzania hii ili mradi usiwe mwanachama wa ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hekta zote mbili mkuu, maji yapo ni kuyachimba tuMillion 3 kwa kila hecta au kwa zote? Kuna source ya maji karibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilomita kama nane hivi ukishaachana na barabara ya lami.Millions 3 kwa zote?na je kuna umbali gani kutoka balabala ya RAMI mpk shamba?
Maji ni ya kuchimba.mil3????? aisee je vipi kuhusu maji yako karibu au hakuna maji?
na kuhusu hilo shamba halina migogoro yoyote maana unaweza uziwa gunia kavu?
Shukran mkuu. huko Zoom na Kupatana nawezaje kuweka tangazo?Nenda zoom ama kupatana dot com mzee utauza fasta. Hapa ni mambo ya mipasho tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata siku moja.
Mkuu nanasi zinalimwa sana huku, sijui kilimo gani haswa unachozungumzia.Hata siku moja.
Nimefika huko bado sana kwa kusema kilimo.
Sio kama nakuharibia biashara hapana, picha nazo ungetuma zingesaidia ila hapana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu ambapo mananasi yanapatikana hakuna mashamba ambayo yanauzwa. Nilikuja nikapitishwa sehemu hiyo, mara nasonga mbele tu hadi nakutana na pori mbele sana sana tu.Mkuu nanasi zinalimwa sana huku, sijui kilimo gani haswa unachozungumzia.
Kuhusu kuniharibia biashara hauwezi mkuu maana hata usiponunua wewe atanunua mwingine Mwenye uhitaji maana malengo yanatofautiana, wewe unaweza kuhitaji eneo kwa ajili ya kilimo huku mwenzio akalihitaji eneo hilohilo kwa ujenzi.
Kwa hiyo usijali boss wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilichosema ni kwamba eneo linafaa kwa kilimo cha nanasi pia, pia siyo kweli umepitishwa maeneo yote panapolimwa nanasi na hujakuta hata sehemu moja haiuzwi kwa kuwa ninawafahamu watu wengi wanaouza maeneo hata yakiwa tiyari yameshaoteshwa nanasi tiyari.Sehemu ambapo mananasi yanapatikana hakuna mashamba ambayo yanauzwa. Nilikuja nikapitishwa sehemu hiyo, mara nasonga mbele tu hadi nakutana na pori mbele sana sana tu.
Kama ni maeneo yanapolimwa nanasi sema. Lkn si vingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Shamba limepimwa na lina hati mkuu, karibu na uwe huru kwenda kujiridhisha popote kwa uhalali kabla ya malipo kufanyikaBagamoyo...kuna mashamba hewa sana!
Post sent using JamiiForums mobile app