SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

Status
Not open for further replies.
Shamba limepimwa na lina hati mkuu, karibu na uwe huru kwenda kujiridhisha popote kwa uhalali kabla ya malipo kufanyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu Bagamoyo kipo. Hati, majirani wa shamba, mwenyekiti wa mtaa, watoto wanaosemekena na wa mwenye shamba nk. Wote wapo! Lakini ni FEKI!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kila kitu Bagamoyo kipo. Hati, majirani wa shamba, mwenyekiti wa mtaa, watoto wanaosemekena na wa mwenye shamba nk. Wote wapo! Lakini ni FEKI!

Post sent using JamiiForums mobile app
Anyway, unajua huwezi kumjaza mtu imani. Hope wahitaji na waelewa watanielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nilichosema ni kwamba eneo linafaa kwa kilimo cha nanasi pia, pia siyo kweli umepitishwa maeneo yote panapolimwa nanasi na hujakuta hata sehemu moja haiuzwi kwa kuwa ninawafahamu watu wengi wanaouza maeneo hata yakiwa tiyari yameshaoteshwa nanasi tiyari.

Usijaribu kupotosha umma kwa findings zako za uongo boss

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mashamba yanayouzwa Bagamoyo ni problematic.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Picha tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Shambani wakati wa kuweka beacon sehemu zilizopimwa japo chini zipo beacon halisi,

IMG-20160914-WA0018.jpg


IMG-20160914-WA0019.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kununua shamba Bagamoyo no!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Duuuh...! Mkuu malyenge, kama shamba linakuwa na hati, majirani, mwenyekiti wa mtaa, watoto wa mwenye shamba, nk na bado ukinunua unapigwa.. je, kuna namna ya kufanya ili kama ukinunua uwe salama, yaani usipigwe?
 
Duuuh...! Mkuu malyenge, kama shamba linakuwa na hati, majirani, mwenyekiti wa mtaa, watoto wa mwenye shamba, nk na bado ukinunua unapigwa.. je, kuna namna ya kufanya ili kama ukinunua uwe salama, yaani usipigwe?
Mkuu utapeli haupo bagamoyo pekee, na siyo kwamba bagamoyo hamna mashamba halali ndiyo maana katika suala la kutaka kujiridhisha nipo tiyari kwenda popote Ili uhalali uonekane wazi, iwe polisi ama mahakamani mimi sioni shida kwa kuwa hii ni Mali yangu halali na sijawahi kuuzia mtu yoyote kabla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu.

Nina shamba langu nauza, lipo bagamoyo kijiji cha fukayosi.

Ni takriban kilomita 18 kutokea bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.

Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.

Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.


Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.

Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.

Tunaweza kuwasiliana kupitia PM Kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.

Kwa wahitaji karibuni sana.
Ni PM tuongee bei halisi ya kuuza mkuu.
 
Hayo maeneo ni hatari sana watu wamepigwa hasa kidomole yote mpaka fukayose

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha mbali aise miaka iliyopita ilibaki kidogo nitapeliwe huko bagamoyo ila nashukuru nikaelekea pande za kiwangwa nikafanikiwa kupata napo matapeli wanapatikana pia jambo la msingi ni kuwa makini sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom