Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,659
Kila kitu Bagamoyo kipo. Hati, majirani wa shamba, mwenyekiti wa mtaa, watoto wanaosemekena na wa mwenye shamba nk. Wote wapo! Lakini ni FEKI!Shamba limepimwa na lina hati mkuu, karibu na uwe huru kwenda kujiridhisha popote kwa uhalali kabla ya malipo kufanyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app