Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achaga uchokozi wako nawewe [emoji23] [emoji23]Ndo maana shamba haliuziki kwa sababu muuzaji wewe ni kilaza
Tuviwanja twao tudogo halafu tumebanana kama makreti ya sodaKAKA KUNA KAMPUNI WANAJIITA KVP INTERPISES KAMA SIJAKOSEA WANAUZA MASHAMBA FUKUSIYO BAGAMOYO KILA JUMAMOSI WANAWAPELEKA WATU KUWAONYESHA JE NA WEWE NI HAO AU, HIYO FUKUSIYO INA UKUBWA GANI MBONA MASHAMBA HAYAISHI JAMANI AU HAKUFAI
Duh toka mwaka juzi bado halijanunuliwa tuu? Au ndio hilo watu zaidi ya kumi wanauziwa shamba hilohilo?[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Habari wakuu,
Nina shamba langu nauza, lipo Bagamoyo kijiji cha Fukayosi.
Ni takribani kilomita 18 kutokea Bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.
Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.
Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.
Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.
Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.
Tunaweza kuwasiliana kupitia PM kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.
Kwa wahitaji karibuni sana.
NYONGEZA!
[quote uid=21139 name="Shark" post=23279949]Pengine kuna details ungeongezea zaidi,
- Je, Limesafishwa?
- Kutoka lami hadi shamba ni umbali gani?
- Linalimika mazao gani?
Reply
- Asaante Mkuu .
Ukipitia mjadala mzima hakuna nilichokificha!Ila siyo mbaya nitajibu tena.
Shamba ni Safi nilishalisafisha , hamna miti wala visiki zaidi ya majani ya kawaida tu.
Kutoka lami mpaka lilipo Shamba hesabu Km 8.
Nanasi huku ndio penyewe .
Shamba lina beacon pande zote kwa ajili ya mpaka.
Ni eneo zuri sana ukilinganisha na bei tajwa, ni changamoto tu za kimaisha ndiyo zimenifanya niliuze but mnunuzi hatojutia.
We tangu mwakajana hujauza tu punguza kima
Duh toka mwaka juzi bado halijanunuliwa tuu? Au ndio hilo watu zaidi ya kumi wanauziwa shamba hilohilo?[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Duh toka mwaka juzi bado halijanunuliwa tuu? Au ndio hilo watu zaidi ya kumi wanauziwa shamba hilohilo?[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Bado kipo 1.2 m pokea[emoji125] [emoji125] [emoji125]Kila kitu Bagamoyo kipo. Hati, majirani wa shamba, mwenyekiti wa mtaa, watoto wanaosemekena na wa mwenye shamba nk. Wote wapo! Lakini ni FEKI!
Post sent using JamiiForums mobile app