SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

Status
Not open for further replies.
Kweli vyuma vimekaza yaani Shamba la 3m la kupima halijapata mteja miezi mi3 Sasa!! $#!kamoo [emoji481][emoji481][emoji481]
 
Kweli vyuma vimekaza yaani Shamba la 3m la kupima halijapata mteja miezi mi3 Sasa!! $#!kamoo [emoji481][emoji481][emoji481]

wateja wapo mkuu ila hawafiki bei
 
KAKA KUNA KAMPUNI WANAJIITA KVP INTERPISES KAMA SIJAKOSEA WANAUZA MASHAMBA FUKUSIYO BAGAMOYO KILA JUMAMOSI WANAWAPELEKA WATU KUWAONYESHA JE NA WEWE NI HAO AU, HIYO FUKUSIYO INA UKUBWA GANI MBONA MASHAMBA HAYAISHI JAMANI AU HAKUFAI
Tuviwanja twao tudogo halafu tumebanana kama makreti ya soda
 
Duh toka mwaka juzi bado halijanunuliwa tuu? Au ndio hilo watu zaidi ya kumi wanauziwa shamba hilohilo?[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Duh toka mwaka juzi bado halijanunuliwa tuu? Au ndio hilo watu zaidi ya kumi wanauziwa shamba hilohilo?[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Duh toka mwaka juzi bado halijanunuliwa tuu? Au ndio hilo watu zaidi ya kumi wanauziwa shamba hilohilo?[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]

siyo mwaka Juzi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…