Car4Sale Ninauza Toyota IST

Car4Sale Ninauza Toyota IST

lake zone

Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
47
Reaction score
52
Nauza gari yangu, aina ya Toyota IST,

Cc 1200, yani mafuta kidogo umbali mwingi, Gari ni nzuri sana, nimeitunza vizuri sana, bei naanzia 8.8M, maongezi kidogo yapo.

Gari ipo Mwanza, ni cheki kwa 0762845506

DSC_1554.JPG
 
Inachangamoto yeyote?
Ishawahi kupata ajali?
Imerudiwa rangi?
Documents zake zinamajina yako?
n.k
 
Back
Top Bottom