Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Ehhh kichogo unaweka wapi sasa!!! Kwanza hiyo hela huna 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bei inapungua au fixed?
Kichogo namuhonga mwanamke yoyote wa jf, kuhusu kuwa na hela ni kweli sina mkuu mpaka baba anipe maana me ni mtoto wake wa mwisho japo nina miaka 48Ehhh kichogo unaweka wapi sasa!!! Kwanza hiyo hela huna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hiyo leo hunitoi out?! Maana nasikia tairi za gari la mshua umezipiga mnada ukasingizia wahuni,na umeapa wauza mbege lazima wakukome🤣🤣🤣😁😁😁😀😭Kichogo namuhonga mwanamke yoyote wa jf, kuhusu kuwa na hela ni kweli sina mkuu mpaka baba anipe maana me ni mtoto wake wa mwisho japo nina miaka 48
Utanipa ngapi mzee?Bei inapungua au fixed?
Utanipa ngapi mzee?Bei inapungua au fixed?
Tena sio matairi tu nataka nilipige bei na gari lenyeweKwa hiyo leo hunitoi out?! Maana nasikia tairi za gari la mshua umezipiga mnada ukasingizia wahuni,na umeapa wauza mbege lazima wakukome🤣🤣🤣😁😁😁😀😭
Daah we jamaa..niungishe basi.Ahsante kwa taarifa...