Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wale wa mikoani ninawatumia mzigo unakufikia popote ulipo.Vitambaa set moja ni sh.70,000 kwa 80,000.
Mto na foronya moja ni sh.15000 karibuni sana wateja ninapatikana Tunduma Songwe.
Kwa mawasiliano ni kupitia namba 0758267513.
View attachment 1569190View attachment 1569191
View attachment 1569192
Niungishe ili upate kuona 2020Mara ya mwisho kuona hii kitu ni mwaka 1994
Ndugu yangu hii kitu imepita fasheni,tengeneza mito mikubwa ya kulalia utauza hachana na hii ya urembo,Niungishe ili upate kuona 2020
Usimkatishe tamaa bwana, wateja wa hizi kitu bado wapoNdugu yangu hii kitu imepita fasheni,tengeneza mito mikubwa ya kulalia utauza hachana na hii ya urembo,
Acha kumpotosha ndugu yangu nani ananunua hii kitu.mi nimemwambia kwa nia njema tu awe creative watu wanaenda na fasheni siku hiziUsimkatishe tamaa bwana, wateja wa hizi kitu bado wapo
Kasema anapatikana Tunduma, labda kwa soko la uko lipo ila kwa Dar es salaam ishapitwa na wakatiAcha kumpotosha ndugu yangu nani ananunua hii kitu.mi nimemwambia kwa nia njema tu awe creative watu wanaenda na fasheni siku hizi
Kwa standard zako imepitwa na wakati. Huku kwetu ipo na tunanunua.Acha kumpotosha ndugu yangu nani ananunua hii kitu.mi nimemwambia kwa nia njema tu awe creative watu wanaenda na fasheni siku hizi
Wacha weeKwa standard zako imepitwa na wakati. Huku kwetu ipo na tunanunua.
[emoji2][emoji2] Ni kweli bwana sitaniiWacha wee
So sebuleni kwako umeweka hivi hongera🙄[emoji2][emoji2] Ni kweli bwana sitanii
Hapana, mimi sina ya hivyo. Ipo kwa jiraniSo sebuleni kwako umeweka hivi hongera🙄
We una vipiHapana, mimi sina ya hivyo. Ipo kwa jirani
Nina mito plain, haina makorokoro. Vitambaa vya makochi sina...sipendeleiWe una vipi
Sasa mbona unampitosha huyu kamanda na vitambaa vyake ahaaaaNina mito plain, haina makorokoro. Vitambaa vya makochi sina...sipendelei
Simpotoshi maana wapo wanaopenda na ninawaona huku mtaani. Mimi sio taste zangu lkn naadmire kipaji chakeSasa mbona unampitosha huyu kamanda na vitambaa vyake ahaaaa
Wacha weeSimpotoshi maana wapo wanaopenda na ninawaona huku mtaani. Mimi sio taste zangu lkn naadmire kipaji chake
Ahsante kwa ushauri wakoNdugu yangu hii kitu imepita fasheni,tengeneza mito mikubwa ya kulalia utauza hachana na hii ya urembo,