1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Vyumba vinne kwishaLibrary ya nn? akikaa sebuni atasoma hicho kitabu.
Tutakula sahani moja kwani inajenga umoja.
Hii kila mtu na sahani toto litakuwa choyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyumba vinne kwishaLibrary ya nn? akikaa sebuni atasoma hicho kitabu.
Nyumba inavyoo vingi utafikiri familia huwa inafanya na sherehe ya kunya.Yani mtu anajenga ukumbi wa kukaa na ukumbi wa kulia cjakula alafu anasema nyumba za kimasikini anashindwa kujenga vyumba vinne.
Dining room unaiondoa kama kweli masikini unapata vyumba vinne.
Ukumbi wa kukaa ndio huo huo utakuwa ukumbi wa kulia.
Duuh una team ya mpira?Vyumba vichache sana
UnajuaHapo kwenye kuvuka corridor ndo uingie dinning ndo pameharibu,ilikuwa either hiki chumba kilichopo upande wa kushoto mwa sebule kiwe ndo dinning kirandane na jiko kisha hiko chumba kikakae ilipo dinning kwenye ramani yako.
Though siyo msanifu majengo naweza kosolewa.
Kama uchumi unaruhusu jenga nyumba ya kueleweka, yenye vya kutosha(angalau kuanzia 4).Duuh una team ya mpira?
Store room ingepatikana vile vile ingekuwa fresh.Ongeza
Chumba cha sala
Library
Gym
Parking
Na kila chumba kiwe na dressing room.
Mkuu wewe mnyamwezi?Kama uchumi unaruhusu jenga nyumba ya kueleweka, yenye vya kutosha(angalau kuanzia 4).
Mambo ya kulazimika kulala kwa jirani ili umpishe mgeni sio poa kabisa
Mimi sio mnyamwezi, Lisu ni ndugu yangu.Mkuu wewe mnyamwezi?
Mimi biashara ya kurundika ndg hapana, nitawalaza lodge.
Pia hili la kupisha mgeni ukalale kwa jirani zilipendwa
Vyumba vilivyoko kulia, yaan upande ilipoi Public Toilet si ungeviongezea madirisha yawe mawili mawili kwa kila chumba? Nini sababu ya kutoweka madirisha kwenye ukuta wa kulia??Je wewe unavutiwa na mpangilio upi wa nyumba?View attachment 1828896
Mimi ni muumini wa nyumba ndogo inayoitosha familia yangu, wageni wakika wa kike watalala kwa chumba cha binti wa kiume watalala chumba cha kijana.Mimi naamini kuwa na nyumba yenye vyumba vingi inasababisha kuvutia wategemezi wasio wa lazima.
Vyumba vitatu vinatosha kwa familia standard. Kisha nje unajenge servant house ya vyumba vili vyote self.
Hapo ukipata mgen analala uko.
Duuh.Mimi ni muumini wa nyumba ndogo inayoitosha familia yangu, wageni wakika wa kike watalala kwa chumba cha binti wa kiume watalala chumba cha kijana.
Ndugu ni watu wa kupita tu,jua pia watoto watakuwa wataondoka hiyo nyumba itakuwa kubwa, hata kuimaintain itakuwa kazi.
Dah,hivi haya maisha ndio unaishi kweli au ndio zile ndoto za alinacha, dressing room ndani ya chumba?!Ongeza
Chumba cha sala
Library
Gym
Parking
Na kila chumba kiwe na dressing room.
Nje isikose bwawa la kuogelea...na bustani ya miti ....Dah,hivi haya maisha ndio unaishi kweli au ndio zile ndoto za alinacha, dressing room ndani ya chumba?!
Haya boss fulani.
Utadhani mshikaji kakopi na kupesti nyumba yangu. Kila kitu hivyo hivyo
Hata mimi nimeliona hiloVyumba vilivyoko kulia, yaan upande ilipoi Public Toilet si ungeviongezea madirisha yawe mawili mawili kwa kila chumba? Nini sababu ya kutoweka madirisha kwenye ukuta wa kulia??
Mkuu kwa mtazamo wangu hiyo nyumba inatosha kabisaaa, Dunia imebadilika sana yale mambo ya vijana kukaa nyumba hadi miaka 25 au 30 yalishapitwa na muda sana , hivyo mie sioni sababu ya kujenga nyumba kubwa kwa sababu watoto wenyewe wanaanza mambo ya kujitegemea mapema ......unakutaka kijana yuko chuo na amepanga na akimaliza chuo harudi tena home huyo.Mkuu tatizo ni uwezo, kibongo bongo kutokana na uchumi wa mtu mmoja mmoja kutoruhusu kumiliki nyumba kubwa wengi wamechagua style hii ya ujenzi, master bedroom chumba cha watoto wa kike na chumba cha watoto wa kiume bora familia yake ijisitiri ila kama mtu uwezo unao siyo mbaya nyumba yako kuwa na vyumba kuanzia vitano+ ili kukamilisha mahitaji yote.