Hapo utakuta mmoja Tu ndo si mgonjwa 🥴
Balaa,ila namwacha soonAcha bhana
🤣🤣🤣🤣Ndo najitahidi kutulia maana sijawahi ishi na mtu mwaka ukaisha..huyu ndo tunatimiza mwaka mwez Àugust[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukiamua hujatulia lkn[emoji1787]
Nilimpata ila hatukuduu....so siamini sana mapenz ya jfHuku jf hujabahatishaga hata kamchepuko cha wiki hata?
Ni kweli ila jf ni uwalakiniMapenzi popote
Ngoja tuone......Unakosea, humu kuna watu wema sana tu.
Kuna watu no bora kuliko unavyofikir