S Sesten Zakazaka JF-Expert Member Joined Sep 10, 2017 Posts 10,559 Reaction score 19,101 Oct 5, 2018 #121 Mikwara Ya Andunje said: Mimi huwa sikopeshi walalahoi bali nasaidia tu Njoo uchukue kiasi chochote cha pesa bure ila kisizidi Bilioni 1 mkuu Click to expand... Umenikumbusha kuna Mzee mmoja wa Kiarabu ana Restaurant yake maeneo ya Chang'ombe Maduka Mawili alikua ana mwimbo wake akipenda sana kuuimba kwa wateja wake aliozoena nao, maneno ya wimbo yapo hivi; Ukitaka tende shukua Ukitaka halua shukua Ukitaka fedhwa shukua Ukitaka dhahabu shukua Halahala mukun.d.u. panua
Mikwara Ya Andunje said: Mimi huwa sikopeshi walalahoi bali nasaidia tu Njoo uchukue kiasi chochote cha pesa bure ila kisizidi Bilioni 1 mkuu Click to expand... Umenikumbusha kuna Mzee mmoja wa Kiarabu ana Restaurant yake maeneo ya Chang'ombe Maduka Mawili alikua ana mwimbo wake akipenda sana kuuimba kwa wateja wake aliozoena nao, maneno ya wimbo yapo hivi; Ukitaka tende shukua Ukitaka halua shukua Ukitaka fedhwa shukua Ukitaka dhahabu shukua Halahala mukun.d.u. panua