Ninaweza kuomba Masters kwa sasa SAUT Mwanza campus?

Humble African

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
4,781
Reaction score
14,415
Ninataka kusoma masters ya sociology pale Saut Mwanza-campus. Nimemaliza mwaka huu bachelor ya social work sina hata transcript mkononi.

Je naweza pata admission pale kwa sasa? Je nina apply via TCU au chuoni penyewe?

Nakaribisha maoni yenu wandugu!
 
Ninataka kusoma masters ya sociology pale Saut Mwanza-campus. Nimemaliza mwaka huu bachelor ya social work sina hata transcript mkononi. Je naweza pata admission pale kwa sasa? Je nina apply via TCU au chuoni penyewe?

Nakaribisha maoni yenu wandugu!

Kwani ulivotembelea website yao wanasemaje?
 
Mkuu kwa pale Saut ni pesa yako tu we nenda kaanze na masomo ila uwe na GPA ya 3.5 na kuendelea.
 
siku hizi pasco tumezidi kumchosha kwa vitu ambayo vipo wazi.
nimekupa web yao hapo juu ambayo ndani yake kuna contacts zao unaweza kuwasiliana nao wao wenyewe.

Huwa nakiamini kile kichwa saana. Lazma awe na kitu murua cha kusema anapoitwa.

Umemfukuza tu ila naamini ningesurvive mengi saana toka kwake hata yale ambayo sijauliza ningepewa. Hana ubabaishaji!
 
Mkuu kwa pale Saut ni pesa yako tu we nenda kaanze na masomo ila uwe na GPA ya 3.5 na kuendelea.

Nadhani nakidhi vigezo vyao kwani G.P.A yangu ni zaidi ya 3.5. Nimepata mwanga kumbe shule ninayo mfukoni kwa level ya master!!?
Molembe
 
Last edited by a moderator:
kwa sasa sidhani mkuu masomo si yanaanza mwezi wakumi? na ukitembelea website yao walishatoa majina ya watu wa masters so labda ujipange kwa mwakani. ni hayo tu
 
siku hizi pasco tumezidi kumchosha kwa vitu ambayo vipo wazi.
nimekupa web yao hapo juu ambayo ndani yake kuna contacts zao unaweza kuwasiliana nao wao wenyewe.
Mkuu Remote, asante kwa kulitambua hili?, tena nilidhani amenitag anataka kufanya masters ya journalism, kumbe sociology!, au alidhani labda na mimi nimesoma hapo, mimi ni wa UD!.

Thanks

Pasco
 
kwa sasa sidhani mkuu masomo si yanaanza mwezi wakumi? na ukitembelea website yao walishatoa majina ya watu wa masters so labda ujipange kwa mwakani. ni hayo tu

Mkuu SAUT pesa yako hata kama wameshamaliza usahili jambo la msingi awe na uhakika wa fee basi watamkubalia.
 
Mkuu SAUT pesa yako hata kama wameshamaliza usahili jambo la msingi awe na uhakika wa fee basi watamkubalia.

kumbe pesa ndo kila kitu eeeeh basi afanye mchakato mapema
 
Saut pesa mbele kama tai, ubora wa elimu nyuma kama mkia.
 
kwa sasa sidhani mkuu masomo si yanaanza mwezi wakumi? na ukitembelea website yao walishatoa majina ya watu wa masters so labda ujipange kwa mwakani. ni hayo tu

Anaweza kuomba na kupata, hata kama masomo yameshaanza, ila usipite mwezi mzima baada ya masomo kuanza
 
hii ni kwa sauti tu au ni kwa vyuo vyote?

Kwa vyuo vyote Leo hii nilienda kuulizia Mzumbe na IFM kwa ajili ya wadogo zangu masters and post graduate diploma, programme zinaanza October na bado wanapokea maombi nikawachukulia na fomu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…