Ninawezaje kuigeuza unlimited internet iniingizie kipato ?

Ninawezaje kuigeuza unlimited internet iniingizie kipato ?

Tafuta kazi nyingine ya kufanya.
IMG_0557.jpeg
 
Asante Broh.
Nimesahau kukuuliza kuhusu gharama, router wauza kiasi gani na kifurushi chao cha unlimited wanauza kiasi gani?
Router laki 2 na 40 inakuja na ofa ya mwezi mmoja unlimited Kisha utaanza kulipia mwezi ujao laki na 20 kwa kasi ya Mbps 20 mkuu
 
Sku iz ukimuunga mmoja mwingine anakuja kuscan barcode ya wifi yako. Utakuta wame lipa wa5 ila wanatumia 20. So lazma ununue billing router au set kila mtu atume password yake
 
Router laki 2 na 40 inakuja na ofa ya mwezi mmoja unlimited Kisha utaanza kulipia mwezi ujao laki na 20 kwa kasi ya Mbps 20 mkuu
Kama mtandao hauna mawenge kwa ninachotaka kukifanya hii gharama haiwezi kusumbua. Pesa ya bando itakuwa inatoka kwa wapangaji wenzangu nitakaokuwa nimewaunganisha.
 
Sku iz ukimuunga mmoja mwingine anakuja kuscan barcode ya wifi yako. Utakuta wame lipa wa5 ila wanatumia 20. So lazma ununue billing router au set kila mtu atume password yake
Inawezekana kuseti router kila mtumiaji akawa na Password yake?
 
Mtandao gani ni rafiki kwa hii biashara mkuu? Nataka nichukue router niwauzie wapangaji wenzangu huduma ya internet. Nimepanga kwenye nyumba yenye vyumba 18, karibia vyumba vyote wapangaji tuna smartphones.
Kama unahitaji biashara hiyo unatakiwa kuna mambo ya msingi uyafaham usipoyafaham itakuletea changamoto baadae. Naomba nikuorodheshee machache hapa.

1.BEHIND.
Jambo La kwanza na muhimu ni kujua "Behind", hii hua ni kiwango cha gb unachopewa either kwa siku au kwa mwezi. Ukweli ni kwamba neno unlimited limekaa kibiashara tuu ila hua kuna kiwango cha gb ambacho mitandao inatoa so mtumiaji wa router akifikia kile kiwango akamaliza zile gb mtandao unashuka sana unakuta hadi mbps 1 au 2, hii kukonect hata watu wawili ni changamoto

2. JINSI YA KUMANAGE ROUTER YAKO WASITUMIE WASIOHUSIKA
ukweli mwingine ni kua watumiaji wengi wa router wanahisi password ndio kila kitu. Ukiwa unawaza hivo basi wewe huduma itakuwia ngumu mana kila siku utakuja kuona watu wameji connect na hukuwapa password na hata uki change password bado tatizo liko pale pale. Hii ni kwasababu kuna option ya ku share QR code pia kuna application mbali mbali zinazosaidia kujua wifi password. CHA MSINGI NI,kujua jinsi ya ki block MAC address hapo utakua umemaliza.

3. AINA ZA VIFAA, RANGE, USERS, TECNOLOGY, ISP WAKO, NA JINSI YA KU EXTEND RANGE

hayo yote ni mambo ya muhimu ya kufaham kabla huja chukua wifi. Ni bora ukapata ushauri wa bure ili ujue uanzie wapi. Mimi mtua kihitaji nampa maelekezo yote bure namfundisha kila kitu nampa na router yangu afanyie real research na kujifunza kabla hajatoa hela kununua kifaa na ni bure kwa walioko dar, morogoro, pwani tanga, na maeneo yote jirani na moro. Utani suport tu nauli ya kujia kama itakua ni eneo la mbali sana
Nicheki 0717700921
 
Kama unahitaji biashara hiyo unatakiwa kuna mambo ya msingi uyafaham usipoyafaham itakuletea changamoto baadae. Naomba nikuorodheshee machache hapa.

1.BEHIND.
Jambo La kwanza na muhimu ni kujua "Behind", hii hua ni kiwango cha gb unachopewa either kwa siku au kwa mwezi. Ukweli ni kwamba neno unlimited limekaa kibiashara tuu ila hua kuna kiwango cha gb ambacho mitandao inatoa so mtumiaji wa router akifikia kile kiwango akamaliza zile gb mtandao unashuka sana unakuta hadi mbps 1 au 2, hii kukonect hata watu wawili ni changamoto

2. JINSI YA KUMANAGE ROUTER YAKO WASITUMIE WASIOHUSIKA
ukweli mwingine ni kua watumiaji wengi wa router wanahisi password ndio kila kitu. Ukiwa unawaza hivo basi wewe huduma itakuwia ngumu mana kila siku utakuja kuona watu wameji connect na hukuwapa password na hata uki change password bado tatizo liko pale pale. Hii ni kwasababu kuna option ya ku share QR code pia kuna application mbali mbali zinazosaidia kujua wifi password. CHA MSINGI NI,kujua jinsi ya ki block MAC address hapo utakua umemaliza.

3. AINA ZA VIFAA, RANGE, USERS, TECNOLOGY, ISP WAKO, NA JINSI YA KU EXTEND RANGE

hayo yote ni mambo ya muhimu ya kufaham kabla huja chukua wifi. Ni bora ukapata ushauri wa bure ili ujue uanzie wapi. Mimi mtua kihitaji nampa maelekezo yote bure namfundisha kila kitu nampa na router yangu afanyie real research na kujifunza kabla hajatoa hela kununua kifaa na ni bure kwa walioko dar, morogoro, pwani tanga, na maeneo yote jirani na moro. Utani suport tu nauli ya kujia kama itakua ni eneo la mbali sana
Nicheki 0717700921
Una roho nzuri mpaka umenishtua!
 
Back
Top Bottom