Ninawezaje kumtambua mwanamke anayenipenda kwa dhati kutoka moyoni mwake?

Ninawezaje kumtambua mwanamke anayenipenda kwa dhati kutoka moyoni mwake?

Watumie meseji wote kwa pamoja waambie umefukuzwa hiyo kazi yako ya ualimu,hivyo inabidi wakuvumilie wakati unasikilizia,kisha subiria wiki uone kama utaona hata unyoya.
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.

Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.

Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.
Ana ana ana do
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.

Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.

Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.
Waambie wote kila mmoja kwa wakat wake kua umefukuzwa kazi kisha angalia kwa week mbili utaona ataongeza muda wake kwako na atakaepunguza muda
 
Mwanamke hatabiriki anaweza akakupenda leo ila kesho akakuletea mapicha picha..hapo cha msingi chapa ilale kupendana pendana waachie njiwa
 
Watumie meseji wote kwa pamoja waambie umefukuzwa hiyo kazi yako ya ualimu,hivyo inabidi wakuvumilie wakati unasikilizia,kisha subiria wiki uone kama utaona hata unyoya.
Wa kwangu nilimwambia nipo najitafuta kaka nikituma message mchana anajbu usku nikituma message usku anajbu mchana😁hapo vipi
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.

Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.

Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.
Wakati ndio huamua... Wakati ndio husema
 
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.

Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.

Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.

Afanyiwe operation uangalie moyoni
 
Wewe mwenyewe umeshindwa kuwa na mmoja unayempenda kutoka moyoni badala yake umewapanga foleni. Halafu unataka mwanamke akupende wewe kutoka moyoni wakati wewe moyo wako umeutapanya. My friend utapata wa kufanana nae.
Umesema?
 
Back
Top Bottom