Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Dili na yule anaekupenda sana zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana ana ana doNawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.
Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.
Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.
Kabisa...mwanamke akikuomba hela huyo kaa ukijua ni malayaAsie kuomba pesa
Anauza bidhaaKabisa...mwanamke akikuomba hela huyo kaa ukijua ni malaya
Waambie wote kila mmoja kwa wakat wake kua umefukuzwa kazi kisha angalia kwa week mbili utaona ataongeza muda wake kwako na atakaepunguza mudaNawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.
Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.
Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.
Wa kwangu nilimwambia nipo najitafuta kaka nikituma message mchana anajbu usku nikituma message usku anajbu mchana😁hapo vipiWatumie meseji wote kwa pamoja waambie umefukuzwa hiyo kazi yako ya ualimu,hivyo inabidi wakuvumilie wakati unasikilizia,kisha subiria wiki uone kama utaona hata unyoya.
Wakati ndio huamua... Wakati ndio husemaNawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.
Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.
Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.
Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.
Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua mwanamke anayenipenda kutoka moyoni mwake.
Umesema?Wewe mwenyewe umeshindwa kuwa na mmoja unayempenda kutoka moyoni badala yake umewapanga foleni. Halafu unataka mwanamke akupende wewe kutoka moyoni wakati wewe moyo wako umeutapanya. My friend utapata wa kufanana nae.
Atapata wa kufanana nae hakuna namna.Umesema?