Ninayempenda ameshaoa, anayetaka kunioa simpendi

Ninayempenda ameshaoa, anayetaka kunioa simpendi

Mwambie achukue simu yake amuandikie ujumbe huu"NIMEKUPENDA KWA MUDA MREFU SANA SEMA HUKUTAKA KABISA KUZIELEWA HISIA ZANGU!JE NINA NAFASI YA KUWA MKE WA PILI KWAKO!?KAMA NDIO NIJIBU ILI NIFANYE MAAMUZI HARAKA SANA!!

Jibu atakalo pata litampa maamuzi!!
Asije kuolewa bila kumwambia ukweli yule ampendae!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Mwambie akubali kuolewa na huyo binamu yake, sababu anampenda. Huyo anayempenda yeye ameshaoa, tena ashukuru sana MUNGU kampa mwanaume mzuri.
 
Olewa tu na huyo aliye kuja! lkn huyu uliye mpenda sana, fanya juu chini uwe unamuiba! iba mara moja kwa kisingizio cha kwenda kuwasalimia kwake au kwao!

Yaani fanya uwezalo uwe unamlia timing akienda kusalimia kwao, kizuri ni kwamba nyie ni ndugu sasa kumpata ndugu mbona rahisi tu hata kumzlia wewe zaa tu, hata wakipima DNA zitakuwa zenu tu!

Nungekuwa wewe huyo ninge mpata tena kirahisi sana, mpaka kiu yangu iishe kabisaaa!! ili kukamilisha ndoto zako!..weka maarifa wewe kwa nini ujifie na nyege bana??
 
Manaume bana ni madhaifu sana ya mnoo!! hata mtoto wake wa kumzaa asimkalie hovyo hasa kama binti ana fanana na Mke wake.....wakishaona wanakuwaga vichaaa!! ni wadhaifu sijapata kuona...

kISA cha ADAMU na SAMASON kinadhihirisha wazi mpaka leo kuhusu tamuuu! hawa walijua lile ni kosa lkn kwa kuona pipi tamuuu! walilegeaaaaaaa!!..wewe pipi unayo!! unakuja kulia humu!! ipe kazi ufurahie

hakuna cha kusema limbwata wala nini........wewe fikiria bonge la handsome anamzalisha kichaa/muokota makopo kabisaaa!! yaani wale hata mbuzi, punda na mateke yake, kwenye miti ni mapenzi tu!

sasa weye mwenzangu na mie ungetamka tu heee!! ungeona moto wake!...hawezi kukataa na weye mwanamke unaye pitia hapa ujue Midume hii tumeitawala anga zooote!

hayawezi kukataa haya majitu!! uongo nyie ''me'' pamoja na mijimisuri yao hiyo!! tunaimiliki sisi!! lazima wao waishi na sisi kwa akili!! hatukuagizwa sisi tuishi nao kwa akili!! kwa nini akusumbue huyo mbuzi wa kafara!

anakufanya kafara ivo km weye si mwanamke?? yeye ndo wa kafara kamata kitu fanya utakavyo hata sasa km bado moyo wako uko pale nenda kamata kitu hakitakuponyoka! wkt un sumaku-ulimbo hapo chini!

Pipi bana usicheze na pipi hta baba yako mzazi akiwa kijana labda awe mgonjwa/mzee hapo sawa lkn anakula anashiba afya tele mwee!!!eee!!!........

usimlengeshe eti sijui mnaogelea homu swimmingi pool! Daddyyy! utalaumiwa sanaaaaa! ukose pa kutokea!
 
Hapana ukisoma tu mstari wa kwanza wa story muhusika amejitamburisha Kwa jina la Yusrath Mohamed umri miaka 19.

Hiyo ni text ambayo alinitumia inbox yangu ya Facebook messenger na mimi nikaisambaza tu tena Kwa kuwekea quotation marks mwanzoni na mwisho wa story yake. Haoo nilichobadirisha ni jina tu ndio sio lake nimeliweka tu jina la kubuni lakini story nzima ni ukweli halisi.
Mr George ni ke [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]??
Makubwa haya!
 
Manaume bana ni madhaifu sana ya mnoo!! hata mtoto wake wa kumzaa asimkalie hovyo hasa kama binti ana fanana na Mke wake.....wakishaona wanakuwaga vichaaa!! ni wadhaifu sijapata kuona...

kISA cha ADAMU na SAMASON kinadhihirisha wazi mpaka leo kuhusu tamuuu! hawa walijua lile ni kosa lkn kwa kuona pipi tamuuu! walilegeaaaaaaa!!..wewe pipi unayo!! unakuja kulia humu!! ipe kazi ufurahie

hakuna cha kusema limbwata wala nini........wewe fikiria bonge la handsome anamzalisha kichaa/muokota makopo kabisaaa!! yaani wale hata mbuzi, punda na mateke yake, kwenye miti ni mapenzi tu!

sasa weye mwenzangu na mie ungetamka tu heee!! ungeona moto wake!...hawezi kukataa na weye mwanamke unaye pitia hapa ujue Midume hii tumeitawala anga zooote!

hayawezi kukataa haya majitu!! uongo nyie ''me'' pamoja na mijimisuri yao hiyo!! tunaimiliki sisi!! lazima wao waishi na sisi kwa akili!! hatukuagizwa sisi tuishi nao kwa akili!! kwa nini akusumbue huyo mbuzi wa kafara!

anakufanya kafara ivo km weye si mwanamke?? yeye ndo wa kafara kamata kitu fanya utakavyo hata sasa km bado moyo wako uko pale nenda kamata kitu hakitakuponyoka! wkt un sumaku-ulimbo hapo chini!

Pipi bana usicheze na pipi hta baba yako mzazi akiwa kijana labda awe mgonjwa/mzee hapo sawa lkn anakula anashiba afya tele mwee!!!eee!!!........

usimlengeshe eti sijui mnaogelea homu swimmingi pool! Daddyyy! utalaumiwa sanaaaaa! ukose pa kutokea!
Hili povu lote si bure, kama si msongo wa mawazo unaokuchanganya kiakili kuhusu Me basi dishi lako litakuwa limeyumba mahali (utani) [emoji28]
 
Hi inaitwa usikae na Jambo rohoni Seema ukweli bila kujali atajiskiaje.
Kingine kiburi au mazoea ya kusubiri uanzwe yamewagharimu wengi.
Frequency hazikamati kwa dishi lisioo lake kamwee[emoji41]
[emoji23][emoji23] udomo zege daaa wee achaa tyu
 
Mnashangaa nini huyo kuolewa miaka 19


Zanzibar ni kitu ya kawaidaa watoto kuolewa tena na wazee

Hasomi sasa afanye nini nyumbani na wazazi wake washamuona mzigo

Muwe mnazingatia na tamaduni za watu wa visiwani…. Wao kwao ndoa ni rahisi wanaoana kila kukichaa ndoa za ndani[emoji2][emoji2]
 
Hili povu lote si bure, kama si msongo wa mawazo
Hamna lolote bana weee!!! hivi fikiria tu......yule jamaa na minyota yooote ile! Rais mkapa alikuwa anaongea nae kama mtoto wake wa kumzaa!....lkn cha kufurahisha alikuwa anamnyatia house girl !! Mama Rama.

haya bisha tuone??...Mdogo wenu kawa mkubwa siku hizi ana Masters ya Polisi....halafu pale bana huwezi chomoa na zee hhakuchomoa kweli! kimyaaaa mpaka leo!?

wajameni hivi me kweli mna akili nyie??........weye ndo unapovu huenda sasa hivi unatoka nyatia house girl wenu!..halafu mkiambiwa ukweli mnasema povu wkt nyie ndo mabingwa w kunyatia!
 
Mbona kama kuna ukweli fulani hivi kwenye comment hii
Hamna lolote bana weee!!! hivi fikiria tu......yule jamaa na minyota yooote ile! Rais mkapa alikuwa anaongea nae kama mtoto wake wa kumzaa!....lkn cha kufurahisha alikuwa anamnyatia house girl !! Mama Rama.

haya bisha tuone??...Mdogo wenu kawa mkubwa siku hizi ana Masters ya Polisi....halafu pale bana huwezi chomoa na zee hhakuchomoa kweli! kimyaaaa mpaka leo!?

wajameni hivi me kweli mna akili nyie??........weye ndo unapovu huenda sasa hivi unatoka nyatia house girl wenu!..halafu mkiambiwa ukweli mnasema povu wkt nyie ndo mabingwa w kunyatia!
 
Uzi umeisha afu hajaizungumzia bikra yake km bado ipo ama jamaa kashakojoa
 
Back
Top Bottom