Ninayo sababu kupinga mpangiliao wa Tahasusi mpya Kidato cha tano na sita

Ninayo sababu kupinga mpangiliao wa Tahasusi mpya Kidato cha tano na sita

Sekondari O leve mbona kuna masomo.ya Bible knowledge na Islamic knowledge miaka mingi tu mbona na wamekuwa wakifanya mitihani ya NECTA form four tatizo nini kuwa na hayo masomo A Levell?

Vyuo.vikuu mbona hadi sasa viko kibao vinatoa degree za Theology na mambo ya Islamic knowledge sioni shida
unadhani ati hawajui 🐒

ni mihemko tu na mazoea ya kulalamika hata kwa kitu ambacho kilikuwepo na kinafanyika mpaka wa leo 🐒

just kulalamika..
 
Yalikuwa ni masomo ya ziada ambayo ni optional, hata hayakuwa na walimu rasmi walioajiriwa na serikali kuyafundisha.

Vyuo vya umma kuna Philosophy and religious studies, hakuna Islamic studies au divinity kama degree rasmi labda kama wameongezea na huko.
Sekondari O leve mbona kuna masomo.ya Bible knowledge na Islamic knowledge miaka mingi tu mbona na wamekuwa wakifanya mitihani ya NECTA form four tatizo nini kuwa na hayo masomo A Levell?

Vyuo.vikuu mbona hadi sasa viko kibao vinatoa degree za Theology na mambo ya Islamic knowledge sioni shida
 
Sekondari O leve mbona kuna masomo.ya Bible knowledge na Islamic knowledge miaka mingi tu mbona na wamekuwa wakifanya mitihani ya NECTA form four tatizo nini kuwa na hayo masomo A Levell?

Vyuo.vikuu mbona hadi sasa viko kibao vinatoa degree za Theology na mambo ya Islamic knowledge sioni shida
Je hizo matokeo ya dini Yana Saidia division zero au having saidi, na masomo yako ya baadae yatachukua matokeo ya dini .
 
Watu wanadanganywa sana kupitia manabii na mitume feki Wacha watu wafundishwe dini deep!
Mapadri wamezama kwenyedini yet wanamiradi mizuuri kuliko walosomea...
Tunakosa kuelewa mzuri kwenye dini tulizoletewa na shetani anapitia humo kujiinua binafsi naunga mkono tahasusi za dini asilimia mia
 
Ninakuunga mkono kwa asilimia mia. Serikali haina chochote kwenye imani na ni kinyume na kifungu cha 19(2) cha katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Serikali haitakiwi kuingilia kwenye kueneza dini ikiwa ni pamoja na kufundisha dini kama somo kwa gharama za wapiga kura wenye dini na wasio kua na dini.
 
1. Serikali haishirikiani na viongozi wa dini kwa upande wa imani bali madhehebu ya dini (institutions) kwa upande wa huduma za jamii, sheria, compliance with secularism na kadhalika (tangibles).

2. Unazungumzia dini kama taaluma au dini kama imani?

3. Secular state haiwezi kujiingiza kwenye imani kwa sababu imani haina kipimo/kiwango standard cha kitaaluma. Kila mwenye imani yake anadai yuko sahihi kwa mujibu wa anavyoamini; Mugasha kya Nyatenda, Kimuli, Kashasila et la zote hizo ni imani sawa ukristo au uislam na vipande vyazo.

4. Hoja yako imejengwa kwenye kuamini (metaphysics) siyo kujua (science & dialects) Serikali itatunataka kwenda na dialects!

5. Imani ni pamoja na uchawi, kwa nini na huo usiwekewe combination ya historia na literature, kwa mfano?

6. Tusiogope kuimbia Serikali ukweli kuwa imeboronga. Inachotamani ku-deliver sicho ilichotumwa na raia. Hili ni taifa, dola au nchi ya raia, siyo viongozi wa serikalii.

7. Kinachoinekana ki kwamba Serikali inajaribu kujitungia mitihani na kuandaa marking scheme yake yenyewe baaada ya kushindwa kujibu mtihani wa kuleta maendeleo uliotungwa na raia. Raia wanahitaji vitu tangible, constructs au dialectics badala ya ku-deliver imani, vitu visivyoobekana wala kushikika - intangibles, metaphysics, imani, infinites, uongo na ujanja, wamekwisha!
Huwez shindana na muda,muda ndo unaleta mabadiliko then hata ukiitwa mezan ukaambiwa useme hilojambo linaathir vip maendeleo ya mtu mmoja moja utakuwa huna hoja yeyote au inathiri vip life ya watu negatively utajikuta huna
 
Back
Top Bottom