BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Au wewe ndiye HRO wake😂😂😂😂Tatizo siyo kummudu! afuate utaratibu
Mpe mwenzio uhamisho, mke wa mtu huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au wewe ndiye HRO wake😂😂😂😂Tatizo siyo kummudu! afuate utaratibu
Afuate utaratibu, kuna barua feki nyingi watu wamepewa huko DodomaAu wewe ndiye HRO wake😂😂😂😂
Mpe mwenzio uhamisho, mke wa mtu huyo
Ila ukimfungia data anahama hata Kama barua feki? Baadae haitamletea usumbufu? Just asking for a friend🤣🤣🤣Afuate utaratibu, kuna barua feki nyingi watu wamepewa huko Dodoma
Hawezi kufungiwa kwa barua feki, kwanza itamsababishia matatizo, HRO ameshafahamu kuwa hiyo ni barua feki. Ukiamua short cut madhara yake ndiyo hayo. LAZIMA UPIGWEIla ukimfungia data anahama hata Kama barua feki? Baadae haitamletea usumbufu? Just asking for a friend🤣🤣🤣
Ushauri mzuri sana huu kutoka kwa mwalimu Mpwayungu.Pole sana mwalimu, walimu wamekuwa wakipitia changamoto hizi yote hii ni kukubali kuwa mwalimu
Nakushauri chukua mikopo benki 5 tofauti kusanya million 40 halafu tokomea kwenye biashara.
Utakuja kunishukuru
ACHANA NA UALIMU
Nenda mahakama ya kazi mikoani na uthibitisho toka tamisemi,umshtaki AFISA utumishi,utashughulikiwa fasta!!!Habari walimu wenzangu, najua mpo. Mimi nilifuatilia uhamisho direct mwenyew Tamisemi kwa Katibu Mkuu kutokana na changamoto za maradhi.
Nilitumia vyeti vya hospitali kumuomba Katibu Mkuu hatimaye akanipa kibali, sasa huku halmashauri kwangu Afisa Utumishi amegoma kunifungia data kuwa mpaka nilete nyaraka nilizotumia kuomba uhamisho Tamisemi.
Nifanyaje wadau?
Unatukana watu bila kujua utaratibu wa utumishiMiwalimu ni mizuzu sana
Huo ushauri haupo applicableUshauri mzuri sana huu kutoka kwa mwalimu Mpwayungu.
Kwa hiyo ulimruka ukaona uende direct kwa katibu mkuu bila kupitia kwake?Habari walimu wenzangu, najua mpo. Mimi nilifuatilia uhamisho direct mwenyew Tamisemi kwa Katibu Mkuu kutokana na changamoto za maradhi.
Nilitumia vyeti vya hospitali kumuomba Katibu Mkuu hatimaye akanipa kibali, sasa huku halmashauri kwangu Afisa Utumishi amegoma kunifungia data kuwa mpaka nilete nyaraka nilizotumia kuomba uhamisho Tamisemi.
Nifanyaje wadau?
Sijawahi ona uhamisho kama huo labda kama sio uhamisho wa kuomba.Utaratibu ulitakiwa uandike barua kwenda Halmashauri unayotaka kuhamia ili kuomba nafasi kupitia mkuu wa shule,Afisa elimu na Mkurugenzi wako na uambatanishe hizo nyaraka zako za hospitali.Then ujibiwe kwamba nafasi ipo kwahiyo wanatuma kibali kwamba umekubaliwa kuhamia Halmashauri husika. Afisa utumishi anandika barua ambayo zile documents zinakuwa attached inapelekwa mkoani.Then watu wa mkoani ndo wanaipeleka Tamisemi.Na kwakuwa hiyo barua unapewa mwenyewe kupeleka mkoani unaitoa photocopy na hizo nyaraka zote zinazotakiwa unabaki nazo.Hizo sasa ndo unapeleka mwenyewe Tamisemi bila kujali kama zile za mkoani zilipelekwa au hapana.Habari walimu wenzangu, najua mpo. Mimi nilifuatilia uhamisho direct mwenyew Tamisemi kwa Katibu Mkuu kutokana na changamoto za maradhi.
Nilitumia vyeti vya hospitali kumuomba Katibu Mkuu hatimaye akanipa kibali, sasa huku halmashauri kwangu Afisa Utumishi amegoma kunifungia data kuwa mpaka nilete nyaraka nilizotumia kuomba uhamisho Tamisemi.
Nifanyaje wadau?
Kumbe watu huwa wanarudishwa kweli?Pole ila inaonekana umekutana na vishoka,njia za mkato siku zote zina gharama sana.
Kuna walimu huku ninakofanyia kazi,alifnya kama uliyoyafanya wewe ni wa kike alhama kwa malipo ya M1 ,wakati anahama hakutaka hata kuiaga staff,katoka kwa mbwembwe akijiona ni mtu wa madili ,kaenda halmashauri alikopangiwa na kufanya kazi kwa almost mwaka mmoja kumbe huku halmshaur alikotoka wanafuatilia uharali wa uhamisho wake,bwana wewe ,afsa utumishi akabaini kuwa aligushi na kipindi chote hicho taarifa za mshahara wake zilikuwa hazijahamishiwa halmashauri alikokuwa,walichomwambia ni kuwa chagua moja kurudi au tufunge mshahara, mwisho wa siku alirudi uso mdogo na hakutaka kurudi kituo chake cha zamani,kwa busara za afsa utumishi alimbadilishia kituo, hata wewe naamin hukufuata utaratibu ila umekuja humu kutafuta huruma za wadau
Fuateni taratibu,hata kama unatoa hiyo rushwa ya M1 ila umefuata utaratibu.
Acha kushupaza shingo ,naamini huyo afisa naye ni binadamu sidhani ukimfuata kiubinadamu ataendelea kupambana na wewe, ila hapa inaonesha wote mko 0:0 hapa ndo penye shida
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole sana mwalimu, walimu wamekuwa wakipitia changamoto hizi yote hii ni kukubali kuwa mwalimu
Nakushauri chukua mikopo benki 5 tofauti kusanya million 40 halafu tokomea kwenye biashara.
Utakuja kunishukuru
ACHANA NA UALIMU
Inategemea jinsi unavyomu aproach afisa mikopo [emoji23] [emoji23]Shida ni kuwa hakuna benki itakayompa mkopo ilhali ana mkopo benki nyingine zaidi ya mbili......labda achukue pesa za vicoba,saccos,kule kwao cwt,na mikopo nyonya damu mingi
[emoji23][emoji23][emoji23]Miwalimu ni mizuzu sana