Ninetengwa na familia ,mke kanikimbia kisa message ya ushirikina




Labda wamemtafutia sababu.


ila nikiangalia mwandiko wa mleta mada naona ni story ya kutunga. Kuonyesha hizi mesage zinavyoweza kuleta tafrani.

TCRA wakiwa wajanja walifanyie kazi maana ni kero.

Najiulizaga hizi mesage adi magufuli anazipataga kweli??
 
Hata mie nimedhani hivyo kama usanii vile.

Na pia sidhani kama yule jamaa anazipataga sababu angekuwa anazipata hili swala lingeshafanyiwa kazi siku nyingi na wala isingekuwa tabia endelevu kiasi hiki yaani ingeshakufaga hii tabia ya hawa matapeli kutuma msg zisizo na kichwa wala miguu kila kukicha.
 
Hayo ma SMS ya kijinga watu huwa wanayatuma tu , we tulia akikaa huko kwao akichoka atarudi, wala usichukue maamuz magumu, it is just a matter of time.
Hizo sms huwa natumiwa karibu kila wiki na ni line zote.
Nadhani huenda huyo bibie aliishia darasa la pili au hakutaki alikuwa anatafuta sababu ya kuachana nawe!
 
Hawa watu ni washenzi, hata mimi mke wangu aliwahi kutumiwa sms za namba hii, mueleweshe mkeo
 
Kuna dalili ya kuwa huu uzi wa kutunga nani adiyeijua hiyo text?
 
Mke Wakoo katokaa KOLOMIJEE JANAA??? Kwelii ushambaa zigoo la mwibaa
 
Fanya tu maamuzi magumu hakuna namna
 
Mke wako na ndugu zako ni Wapumbavu. Mshukuru mungu kwa kukuepusha nao
 
Huyo mkeo ndio amekutumia hiyo message ili spate excuse ya kuachana na wewe...
 
Ukipata mesej kama hiyo kwanini usifute!? Ninapokua kwenye foleni kazi yangu Ndio hiyo kufuta mesej za mitandao ya simu na ambazo sizihitaji na kufuta Picha zinazojidownload au za magroup
Kuwa mpole wife atarudi mwenyewe au mpe iyo namba aipige aongee nae aone jinsi atakavyo sumbuliwa
 
Huyo mke mm naona ana mambo tu ya kitoto
Sasa je km angekuta meseji ya kugegedana c angezima na kufa kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…