Nineth Circle Satanic Cult

Nineth Circle Satanic Cult

Mbona hii hoja tuliisha ijibu kitambo sana Eiyer na Mkuu wa chuo. Kinachotufanya sisi Wa Adventista wa Sabato tufikiehitimisho kwamba Upapa / Papa ndiye Mpinga Kristo anayezungumzwa katika Daniel7 na Ufunuo 13 si jumla ya hesabu ya jina peke yake, ni pamoja na sababunyingine nyingi kama zilivyoainishwa katika vitabu tajwa hapo juu.
Mfano, Biblia inasema:

  1. Nayeatanena maneno kinyume chake Aliye juu;
  2. nayeatawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu;
  3. nayeataazimu kubadili majira na sheria;
  4. naowatatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
(Daniel 7:25)
Huo ni uthibitisho kwa ufupi kati yamwingine mwingi unaoshadadia hoja yetu kwani Upapa unathibisha mambo yote hayokwa hakika.
Sasa, ukisema EG White ndiye,ututhibitishie pia kwamba EG White anatimizaje mambo manne yaliyoainishwa hapojuu:
Neema ya Yesu itufunike.

Mkuu haya mambo ukiambiwa uyaelezee tutanza kutoka nje ya mada mkuu,nashauri tuyaache kwa sasa lakini hayo yote hakuna hata moja Upapa umetimiza .....
 
Back
Top Bottom