Ningejua bora ningeenda teaching kuliko afisa kilimo...

Ningejua bora ningeenda teaching kuliko afisa kilimo...

Tatemahunda

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
232
Reaction score
91
wakuu kwanza nitangulize heshima kwenu..Mimi ni mtanzania niliyehitimu mafunzo yangu ya kilimo ngazi ya cheti mnamo may 2012..tangu hapo nimekua nikisubiri kuajiriwa lkn hadi Leo naona kimya..wenzangu niliomaliza nao kidato cha nne na wakaenda teaching sasa wanakula mshahara..kwangu Mimi maisha magumu na wala cjui ntajiajiri vp mana matumizi yangu mwenyewe ni shida, ntajiajiri vp?? naombeni ushauri mana kwangu maisha yashakua magumu..
 
yahoo,n.a, matimizi,ntajiajiri ndio nini? Kwa uandishi huu wanafunzi watakuelewa kweli? Hebu kuwa serious! Ushauri:
Jaribu kutuma maombi ya kukumbushia Wizara ya Kilimo na chakula.Mbona wengi waliohitimu 2012 walishaajiriwa kama maafisa ugani?
 
Tying error mkuu omba chuo cha Ualimu kama una lengo la kua mwalimu otherwise omba kujitolea hadi hapo zamu yako Itakapofika wizara wakisikia kilio chako@Afisakilimo njoo huku
 
yahoo,n.a, matimizi,ntajiajiri ndio nini? Kwa uandishi huu wanafunzi watakuelewa kweli? Hebu kuwa serious! Ushauri:
Jaribu kutuma maombi ya kukumbushia Wizara ya Kilimo na chakula.Mbona wengi waliohitimu 2012 walishaajiriwa kama maafisa ugani?

Mkuu labda ajaribu ushauri wako ila Tz ni moja ya nchi yenye maajabu Dunian katka sekta ya Ajira
 
kwa post hii ualimu nowadayz sio wito tena shida tupu fanya kitu unachokipenda!
 
Majuto ni Mjukuu. Uliposikia Kilimo Kwanza ndio ukaingia kichwa kichwa?hapa Bongo wewe akili kumkichwa ukilemaa unaachwa ferry.
 
Du! Pole mkuu kibaya zaidi hukujua hilo mapema nafasi zenyewe za kilimo chache sana muombe sana mungu.
 
wakuu kwanza nitangulize heshima kwenu..Mimi ni mtanzania niliyehitimu mafunzo yangu yahoo kilimo ngazi yahoo cheti mnamo may 2012..tangu hapo nimekua nikisubiri kuajiriwa lkn hadi Leo naona kimya..wenzangu nikimaliza nao kidato cha nne n.a. wakaenda teaching sasa wanakula mshahara..kwangu Mimi maisha magumu n.a. wala cjui ntajiajiri vp mana matimizi yangu mwenyewe ni shida, ntajiajiri vp?? naombeni ushauri mana kwangu maisha yashakua magumu..
Du! Bora mkuu hujawa mwalimu kweli watoto wetu wangepata hasara sana ulivyoandika unanipa mashaka kweli.
 
wakuu kwanza nitangulize heshima kwenu..Mimi ni mtanzania niliyehitimu mafunzo yangu yahoo kilimo ngazi yahoo cheti mnamo may 2012..tangu hapo nimekua nikisubiri kuajiriwa lkn hadi Leo naona kimya..wenzangu nikimaliza nao kidato cha nne n.a. wakaenda teaching sasa wanakula mshahara..kwangu Mimi maisha magumu n.a. wala cjui ntajiajiri vp mana matimizi yangu mwenyewe ni shida, ntajiajiri vp?? naombeni ushauri mana kwangu maisha yashakua magumu..

Kwenye kilimo hamkufundishwa kujiajiri? Mbona mkuu umesoma fani Safi kabisa yakuweza kujiajiri!
 
Kama unandugu Mpwapwa Lumuma kajaribu kuazima shamba ulime vitunguu ja hekari moja baada ya Sikh 90 vuna uza ukiwa serious unaweza pata hadi 8-12m itakutosha kupata mtaji wa biashara. Ukiota kuajiriwa unapoteza muda wako Kuna watu wanadegree hadi 5 sasa ni miaka 6 hawana kazi wanatamani kulima.
 
yahoo,n.a, matimizi,ntajiajiri ndio nini? Kwa uandishi huu wanafunzi watakuelewa kweli? Hebu kuwa serious! Ushauri:
Jaribu kutuma maombi ya kukumbushia Wizara ya Kilimo na chakula.Mbona wengi waliohitimu 2012 walishaajiriwa kama maafisa ugani?

mkuu Kwanza nitangulize samahani Kwa hizo typing errors..ila nimesha edit ..ila kwa waliomaliza 2012 bado hadi sasa hakuna aliyekwisha ajiriwa ila wapo waliochaguliwa jana kupitia secretariat ya ajira na mimi pia niliomba ila kilichoniuma zaidi ni pale tu nilipoona wenzangu wamechaguliwa na mimi cna hata mtaji..
 
Kwenye kilimo hamkufundishwa kujiajiri? Mbona mkuu umesoma fani Safi kabisa yakuweza kujiajiri!

mkuu tena kinachonisibu ni kukosa mtaji tu..ila Nina ubunifu wa kutosha..kilimo chenyewe kinahitaji mtaji...nowadays mbegu bei juu, madawa ndo usiseme...so bila mtaji utazeheka bila mafanikio..nishaurini kwa busara plz...
 
ongeza elimu atleast diploma ndg,mimi niko horti tengeru hapa walioandika barua wakiwa na dip ya horti wote waliitwa usaili na wote wamepangiwa kazi,general majanga sasa na wewe cheti ndio shida zaidi ongeza elimu ingia hata horticulture,mechanization au irrigation.Special coz za kilimo ndio dili sasa
 
mkuu Kwanza nitangulize samahani Kwa hizo typing errors..ila nimesha edit ..ila kwa waliomaliza 2012 bado hadi sasa hakuna aliyekwisha ajiriwa ila wapo waliochaguliwa jana kupitia secretariat ya ajira na mimi pia niliomba ila kilichoniuma zaidi ni pale tu nilipoona wenzangu wamechaguliwa na mimi cna hata mtaji..

Pole sana,lakini usikate tamaa.Waweza kuanzia sehemu yoyote kwa kujitolea.Ni rahisi kufikiriwa ukapata support kama utendaji wako utakuwa mzuri. Hapa namaanisha uende ngazi ya kijiji na kujitolea.Vinginevyo bado hujachelewa unaweza kuomba ualimu kama unazo sifa,nafasi zimekwisha tangazwa na Wizara.Miaka 2 siyo mingi sana.
 
Kama unandugu Mpwapwa Lumuma kajaribu kuazima shamba ulime vitunguu ja hekari moja baada ya Sikh 90 vuna uza ukiwa serious unaweza pata hadi 8-12m itakutosha kupata mtaji wa biashara. Ukiota kuajiriwa unapoteza muda wako Kuna watu wanadegree hadi 5 sasa ni miaka 6 hawana kazi wanatamani kulima.

Mkuu wewe ni mwenyeji wa wapi, maana huko lumuma ndiyo nyumban kabisa.
 
Back
Top Bottom