Ningejua bora ningeenda teaching kuliko afisa kilimo...

Ningejua bora ningeenda teaching kuliko afisa kilimo...

wakuu kwanza nitangulize heshima kwenu..Mimi ni mtanzania niliyehitimu mafunzo yangu ya kilimo ngazi ya cheti mnamo may 2012..tangu hapo nimekua nikisubiri kuajiriwa lkn hadi Leo naona kimya..wenzangu niliomaliza nao kidato cha nne na wakaenda teaching sasa wanakula mshahara..kwangu Mimi maisha magumu na wala cjui ntajiajiri vp mana matumizi yangu mwenyewe ni shida, ntajiajiri vp?? naombeni ushauri mana kwangu maisha yashakua magumu..

Kwa kawaida mtu kujikatisha tamaa mwenyewe ni jambo ambalo huwa silipendi kabisa. Ni heri sisi ndio tukukatishe tamaa ila sio wewe. Na bahati mbaya unailalamikia kada uliyoisoma. Kama uliisoma kwa lengo la ajira hapo lazima usubiri. Lakini mi naona kama bado una nafasi ya kujiajirii vizuri katika kilimo na kikakulipa tu japo si kwa haraka uliyonayo. Asikudanganye mtu hata kwenye ualimu sio kwamba ndio kuzuri nako kuna changamoto zake na kama hukujiandaa kuwa mwalimu utakimbia. Chemsha bongo jipange kujiajiri UNAWEZA.
 
Tuma maombi ya ualimu noW,,,njoo upate mtaj wa haraka,,songea tc,
 
Back
Top Bottom